G.T.L
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 1,739
- 3,964
Hizo ni propaganda za kihuni tuu! Hakuna mwanachama halali wa chadema anaweza kuthibitisha tuhuma hizo!!
CDM ina watu makini sana, hatuendeshwi kindezi kama unavyotaka kutuaminisha.
Halafu wewe fala usijifanye mjuaji ......pumbavu kabisaSasa kama anang'ang'ania na hataki Kuwaachia wengine Sisi Wanachama wa CHADEMA ( GENTAMYCINE nikiwemo ) nikisema ni Mwenyekiti wetu wa Kudumu na Milele nitakuwa nakosea? au Wewe ni CCM Mkuu? Hebu niache na CHADEMA yangu tafadhali.
Maamaa...unamsema yule mzee kijanaHivi na Wewe ni Mwana CHADEMA Mwenzetu Mkuu? Basi kama CHADEMA yetu ya leo ina Watu ' Wavivu ' wa Kufikiri kama hivi Wewe ngoja tu nimtafute Msemaji wetu Humphrey Polepole nitangaze Kurejea rasmi Nyumbani CCM na nipewe Kadi yangu mpya, kwani kuna uwezekano mkubwa huku CHADEMA Kwetu sasa tumevamiwa.
....... Mungu ni mwema hakika hekima unazo KAKA
Na hicho ndicho kinacho mtofautisha kwa kiwango kikubwa sana na upande ule.
Hiyo haisomewi kwenye vitabu au kuzungukwa na jopo la mapropesa. Ni kitu kinachoishi ndani yako na ukiwa nacho kamwe hakitoki hata wakutikise vipi.
Mbowe una hekima sana!
Hivi na Wewe ni Mwana CHADEMA Mwenzetu Mkuu? Basi kama CHADEMA yetu ya leo ina Watu ' Wavivu ' wa Kufikiri kama hivi Wewe ngoja tu nimtafute Msemaji wetu Humphrey Polepole nitangaze Kurejea rasmi Nyumbani CCM na nipewe Kadi yangu mpya, kwani kuna uwezekano mkubwa huku CHADEMA Kwetu sasa tumevamiwa.
I care.
Shameless idiot woman!!Hivi ndugu yako kagame ametawala muda gani we kenge?Sisi wana CHADEMA wa Kutukuka tumekuelewa kabisa Mwenyekiti wetu wa Kudumu na Milele.
Shameless idiot woman!!Hivi ndugu yako kagame ametawala muda gani we kenge?
SenselessHivi unajua Mimi unayenitusi hivi ni Mwana CHADEMA Mwenzio Mkuu? Utaniudhi sasa nami nihamie rasmi CCM kama alivyofanya Mzee Lowassa sawa? Endelea tu Kuniudhi nihame CHADEMA leo hii hii.






Hivi unajua Mimi unayenitusi hivi ni Mwana CHADEMA Mwenzio Mkuu? Utaniudhi sasa nami nihamie rasmi CCM kama alivyofanya Mzee Lowassa sawa? Endelea tu Kuniudhi nihame CHADEMA leo hii hii.