Shukrani kutoka kwa Freeman Mbowe

Shukrani kutoka kwa Freeman Mbowe

RtsHjcq

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2017
Posts
4,753
Reaction score
5,516
.
 

Attachments

  • FB_IMG_1552372211116.jpeg
    FB_IMG_1552372211116.jpeg
    19.1 KB · Views: 76
Waheshimiwa Wanachama, Viongozi na Wabunge!.

Naomba niwashukuru sana wale wote walioshiriki nasi kupigana, kulia na hata kuimarishana kwa njia mbalimbali katika kipindi chote cha miezi mitatu na nusu tuliyoishi gerezani.

Natambua na kuheshimu mno ushiriki wenu kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na Sala, ushauri, huduma ya chakula, michango ya fedha, solidarity support mahakamani na zaidi walioweza kutenga muda wao na kuja kututembelea na kutufariji gerezani Segerea kulikoambatana na zawadi mbalimbali vikiwemo vitabu & magazeti, matunda, maji, juice na hata machozi!!!

Nitambue kipekee kazi kubwa na ya kutukuka iliyofanywa na Mawakili Wasomi waliounda defence team yetu!! You were great all the way through!!

Nitoe shukrani vilevile kwa wale wote waliotoa support kwa familia zetu na hata kututunzia na kujenga kwa njia mbalimbali Majimbo yetu ya uchaguzi ikiwemo zoezi la Chadema ni Msingi.

Kwa wale walioshindwa vyote hivyo, watambue kwa dhati nawapenda na kuwaombea yote yaliyo mema..... au kama wapo wengine waliokwazika kwa njia moja au nyingine..... pia nichukue fursa hii kuwaomba msamaha na kuitaka amani miongoni mwetu!!

Aidha, niwape pole nyingi wenzetu wote waliokumbwa na maswahibu mbalimbali katika kipindi chote hiki!!

Tuimarishwe zaidi katika mapito haya ili itimie kauli ya “kesho yetu kuwa bora kuliko jana “

Mbarikiwe sana!!

Freeman Aikaeli Mbowe
Mkt (T), KUB & Mp HaiView attachment 1043611

Sent using Jamii Forums mobile app

Bora tu amefanya hivyo, maana kuna watu hawakosi sababu za kulahumu. Wangeanzisha uzi kuwa Mbowe hana shukrani kabisa.
 
Waheshimiwa Wanachama, Viongozi na Wabunge!.

Naomba niwashukuru sana wale wote walioshiriki nasi kupigana, kulia na hata kuimarishana kwa njia mbalimbali katika kipindi chote cha miezi mitatu na nusu tuliyoishi gerezani.

Natambua na kuheshimu mno ushiriki wenu kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na Sala, ushauri, huduma ya chakula, michango ya fedha, solidarity support mahakamani na zaidi walioweza kutenga muda wao na kuja kututembelea na kutufariji gerezani Segerea kulikoambatana na zawadi mbalimbali vikiwemo vitabu & magazeti, matunda, maji, juice na hata machozi!!!

Nitambue kipekee kazi kubwa na ya kutukuka iliyofanywa na Mawakili Wasomi waliounda defence team yetu!! You were great all the way through!!

Nitoe shukrani vilevile kwa wale wote waliotoa support kwa familia zetu na hata kututunzia na kujenga kwa njia mbalimbali Majimbo yetu ya uchaguzi ikiwemo zoezi la Chadema ni Msingi.

Kwa wale walioshindwa vyote hivyo, watambue kwa dhati nawapenda na kuwaombea yote yaliyo mema..... au kama wapo wengine waliokwazika kwa njia moja au nyingine..... pia nichukue fursa hii kuwaomba msamaha na kuitaka amani miongoni mwetu!!

Aidha, niwape pole nyingi wenzetu wote waliokumbwa na maswahibu mbalimbali katika kipindi chote hiki!!

Tuimarishwe zaidi katika mapito haya ili itimie kauli ya “kesho yetu kuwa bora kuliko jana “

Mbarikiwe sana!!

Freeman Aikaeli Mbowe
Mkt (T), KUB & Mp HaiView attachment 1043611

Sent using Jamii Forums mobile app

Sisi wana CHADEMA wa Kutukuka tumekuelewa kabisa Mwenyekiti wetu wa Kudumu na Milele.
 
Ni makosa kusema Mwenyekiti wetu ni wa kudumu, ni kinyume na sera/mfumo wa chama chetu cha Demokrasia na Maendeleo!!!

Sasa kama anang'ang'ania na hataki Kuwaachia wengine Sisi Wanachama wa CHADEMA ( GENTAMYCINE nikiwemo ) nikisema ni Mwenyekiti wetu wa Kudumu na Milele nitakuwa nakosea? au Wewe ni CCM Mkuu? Hebu niache na CHADEMA yangu tafadhali.
 
Sasa kama anang'ang'ania na hataki Kuwaachia wengine Sisi Wanachama wa CHADEMA ( GENTAMYCINE nikiwemo ) nikisema ni Mwenyekiti wetu wa Kudumu na Milele nitakuwa nakosea? au Wewe ni CCM Mkuu? Hebu niache na CHADEMA yangu tafadhali.

Hizo ni propaganda za kihuni tuu! Hakuna mwanachama halali wa chadema anaweza kuthibitisha tuhuma hizo!!

CDM ina watu makini sana, hatuendeshwi kindezi kama unavyotaka kutuaminisha.
 
Back
Top Bottom