Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,734
- 9,913
Hongereni sana AZAM Media kwa hili.
Maana Dira ya Dunia nilikuwa naikosa sana.Futuhi ndio kabisaaa
Na kwa kasi hii,natumai mwakani Ligi ya Uingereza tutaiona.
Maana ye Kenya Tunaiona,ya Uganda Ndio nyumbani kabisaa maana Mdhamini mwenyewe ni AZAM na inaitwa Uganda Azam Premium League kama sikosei.
Maana Dira ya Dunia nilikuwa naikosa sana.Futuhi ndio kabisaaa
Na kwa kasi hii,natumai mwakani Ligi ya Uingereza tutaiona.
Maana ye Kenya Tunaiona,ya Uganda Ndio nyumbani kabisaa maana Mdhamini mwenyewe ni AZAM na inaitwa Uganda Azam Premium League kama sikosei.