Shukrani Azam TV

Shukrani Azam TV

Mkuu channel za bongo ni
ITV,Star TV, Channel 10, EATV, TBC1, ZBC1 &2, Clouds TV, Azam 1&2 nk.

Za kenya ni

Citizen, KBC, K24,NTVKenya, na KTV

Channel za wanyama specific sijaona but kuna docummentary channels km NatGeo, Viasat Nature/History, na Discovery science.

Mziki kuna

Box TV, MTV

Nadhani nimekujibu mkuu.

Na chanel zinazoonyesha miereka( WWE) je?
 
Hongera sana kwa Uongozi wa Azam tv nimeipenda hii.
 
Mods unganisheni huu uzi na ule wa kwangu.
 
mbona kwangu haionyeshi na nimejiunga kwenye kifurushi cha azam play? najaribu kuwapigia lakini simu yao inaita muda mrefu bila kipokelewa! inaandika access denied.wadau wenye utaalam waniambie!

jaribu hii wanaokea ndani ya sekunde tu 0764 700 222
 
Tunashukuru Azam Tv kuongeza Star tv kwenye king'amuzi chenu. Asante!
 
Hila akioneshi kitu "access denied" wakati nimelipia 15,000/=
 
mbona kwangu haionyeshi na nimejiunga kwenye kifurushi cha azam play? najaribu kuwapigia lakini simu yao inaita muda mrefu bila kipokelewa! inaandika access denied.wadau wenye utaalam waniambie!

Leo wikendi nadhani hua hawapokei, nimewahi kupiga wikendi simu haikupokelewa hadi weekdays
 
mbona kwangu haionyeshi na nimejiunga kwenye kifurushi cha azam play? najaribu kuwapigia lakini simu yao inaita muda mrefu bila kipokelewa! inaandika access denied.wadau wenye utaalam waniambie!

bonyeza Menu>auto search
 
azam funga kazi bado kutuwekea channel ya epl japo mechi mbili kwa wiki. shukrani azam media.
 
nami naungana nanyi kutoa shukrani kwa ubora wa huduma za king'amuzi cha Azam,ninaomba Capital Tv iingizwe
 
Back
Top Bottom