Mkuu tafuta mbona na waitara tuwajue pia hata mwamunyange
Chief of Defence Force (mkuu wa majeshi) namba moja wa JWTZDah, ebhana mkuu naona uko na package kubwa kuhusu history ya jeshi letu. I 'm very proud of JF kwakweli.... Kuna neno hilo CDF what does it mean mkuu?
Asante kwa kunijuza mkuu....... na vipi hawa "Chief of Staff" ndio cheo gani mkuu?Chief of Defence Force (mkuu wa majeshi) namba moja wa JWTZ
Mnadhimu wa jeshi!Asante kwa kunijuza mkuu....... na vipi hawa "Chief of Staff" ndio cheo gani mkuu?
Okay, anakuwa ndiye msaidizi wa CDF amaMnadhimu wa jeshi!
Kithuku,
..sasa nakuongezea na Pius Msekwa naye alikuwa VC wa UDSM. Natumai unaelewa madhara ya ma-VC hao.
..Msekwa aligeuza UDSM kuwa tawi la CCM, matokeo yake wataalamu wengi wetu wakaachia ngazi.
..Ibrahim Kaduma "Ibra-Kadu" naye alivuruga kazi pale UDSM kwa kiburi na ujeuri wake. Nicholas Kuhanga naye kazi ilimshinda.
..Kwa kifupi endelea kutafakari uongozi wa Kaduma,Kuhanga,Msekwa vs wa Prof.Pratt, Prof.Chagula,Prof.Mmari.
John B.Walden alikuwa Black Mamba RIP.Kambale alikuwa Gen. Walden. Marwa alikuwa Mti Mbavu hauchumwi dawa
Mashujaa wengi wamesahaulika. Hakuna maandishi ya yale waliyoyafanya. Tumebakia kuwasoma kina Napoleone, Douglas McArthur, Einsenhower etcNdiyo! Tarehe 22 Januari 1979 sauti yake kakamavu ilisikika katika radio za kijeshi akitangaza "Mutukula" kuashiria kuwa hatimaye majeshi ya Idi Amin yameondolewa katika Ardhi ya Tanzania. Hiyo ilikuwa ni hatua ya kwanza ya ushindi na Mkuu wa Majeshi alipotembelea Mutukula alipewa hilo jina la "Mutukula". Meja Jenerali Marwa atakumbukwa katika historia yetu na ninaamini mashujaa wengine kama yeye ni lazima waanziwe kwani ni wao wanaotia moyo vijana na wapiganaji wengine kujitoa muhanga kwa ajili ya Taifa lao!
Attention! .. Lala Salama Shujaa wetu! Taifa lako lilipokuita uliitika na sasa mola amekuita na umetii milele!
Kimulimuli ilkuwa bendi ya JKT Mafinga. Mwanzoni kulikuwa na JKT Kimbunga pale Mgulani halafu ikagawanya mara mbili na kuzaliwa Kimulimuli iliyopelekwa Mafinga.B
Hicho kibao kama sikosei kilipigwa na bendi ya Polisi (Kimulimuli) wakiwemo kina Zahir Ally Zorro na Mzee Kassim Mapili.
Kweli mkuu Nimekumbuka.John B.Walden alikuwa Black Mamba RIP.
Asante Mkuu kwa kuweka kumbukumbu sawa.Kimulimuli ilkuwa bendi ya JKT Mafinga. Mwanzoni kulikuwa na JKT Kimbunga pale Mgulani halafu ikagawanya mara mbili na kuzaliwa Kimulimuli iliyopelekwa Mafinga.
Huyu mheshimiwa sijamuona siku nyingi sana... au ndio majukumu mapya hayo?RIP kambale
mwanakiji una info za kutosha..una Library?
Mungu ampuzishe salama...Wazalendo kama hawa nchi inawamisi sana...Nimekumbana na clip hii online ya brigadier Marwa (wakati huo) akiwa anateka vijiji vya Uganda kimoja kimoja. Watu wanadai hakuwa na elimu lakini unasikia kabisa kuwa anaongea kwa mantiki ya mtu aliyesoma vizuri. Alipata Comission yake ya kuwa 2nd Lt Uingereza nadhani Sandhurst ambako minimu entry wakati huo ilikuwa ni darasa la 12