Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,327
- 8,205
SHUJAA wa vita vya kagera ..maj general mwita chacha marwa amefariki dunia akiwa kwenye matibabu ...huko south afrika...kamanda huyu shupavu ndiye aliyekuwa wa kwanza kuingiza majeshi yetu entebbe..na kuukamata,baada ya mapambano makali...
amepata kuwa mkuu wa mkoa singida na mikoa mingine ,katibu wa chama,ets ,,pia kuna wakati alijiunga na CNADEMA kwa muda ..baada ya kuhisi kusahaaulika..kabla ya rais [nafikiri mkapa au mwinyi] kumuita ikulu na kumuuliza shida iliyopelekea kujiunga upinzani..baada ya hapo aliombwa ajitoe na mara moja tangu apo akarudishwa ikulu kama MSHAURI MAALUM WA RAIS...
HII ni thread ya kukumbuka legacy yake kama kamanda shupavu pamoja na vijana aliopigana nao bega kwa bega na wote wakiwemo makamanda ,maafisa na askari waliokomboa afrika ..kamamnavyojua role ya jeshi letu kivita angola,msumbiji,namibia,comoro ets...kwa waliopo na waliotangulia mbele za haki.....
amepata kuwa mkuu wa mkoa singida na mikoa mingine ,katibu wa chama,ets ,,pia kuna wakati alijiunga na CNADEMA kwa muda ..baada ya kuhisi kusahaaulika..kabla ya rais [nafikiri mkapa au mwinyi] kumuita ikulu na kumuuliza shida iliyopelekea kujiunga upinzani..baada ya hapo aliombwa ajitoe na mara moja tangu apo akarudishwa ikulu kama MSHAURI MAALUM WA RAIS...
HII ni thread ya kukumbuka legacy yake kama kamanda shupavu pamoja na vijana aliopigana nao bega kwa bega na wote wakiwemo makamanda ,maafisa na askari waliokomboa afrika ..kamamnavyojua role ya jeshi letu kivita angola,msumbiji,namibia,comoro ets...kwa waliopo na waliotangulia mbele za haki.....