Mkuu tafuta mbona na waitara tuwajue pia hata mwamunyange
..Kikwete, Waitara, Mwamunyange,.. walikuwa maofisa wadogo mwaka 1978/79 wakati wa Vita vya Kagera.
..Waliopewa hayo majina walikuwa ni Wakuu wa brigedi na division zilizokwenda mstari wa mbele. Rank zao zilikuwa ni Brigadier(siku hizi brigadier general) na Major Generals. Nadhani alikuwepo Kanali mmoja kama sikosei jina lake ni Col.Tumbi.
..Kama taifa tunapaswa kuandika kumbukumbu ya vita vya Kagera. Makamanda karibu wote waliopiganisha vita ile wametangulia mbele za haki.