Wa Tz. Hivyo ndivyo tulivyokuwa kwenye miaka ya 60;70 na 80. Lakini sijui kwa nini tumebadilika ghafla na kukosa uzalendo.
Hata hao wazee wetu nao wamebadilika kwa kutokuwa na msimamo hadi kupelekea kuhama vyama. Ni vyema wa Tz. tungejitambua.
R.I.P Kijana wa Komsomol.
Tatzo tz utapeli mwingi sana askari akijitoa mhanga akafia vitan familia yake ndio inasahaulika kabisa ,kama alikuwa anaishi kota basi familia inafukuzwa kabisa malipo yote yanaishia mikononi mwa wengne huku watoto wa marehem wakiganga njaaWa Tz. Hivyo ndivyo tulivyokuwa kwenye miaka ya 60;70 na 80. Lakini sijui kwa nini tumebadilika ghafla na kukosa uzalendo.
Hata hao wazee wetu nao wamebadilika kwa kutokuwa na msimamo hadi kupelekea kuhama vyama. Ni vyema wa Tz. tungejitambua.
R.I.P Kijana wa Komsomol.
hahahaha DKT mwakingwehuku tanzania ukitaka kuwa shujaa umpige risasi MWANDISHI WA HABARI AU DAKTARI BINGWA
Nani kakwambia wale ni waarabu? Isis ni wamarekani bwana, tusidanganyike kihivyoHuyu komandoo mrusi alijiua huku akifa na wapiganaji kadhaa WA Isis, mpaka waarabu walishangaa mbinu Yao imewamaliza wenyewe.
Wapiganaji wengi wa Isis so waarabu ni wazunguHuyu komandoo mrusi alijiua huku akifa na wapiganaji kadhaa WA Isis, mpaka waarabu walishangaa mbinu Yao imewamaliza wenyewe.
R.I.P komando
Unaweza kutenda ushujaa kama huo kwa Taifa linalojali utawala wa kikatiba kisheria na demokrasia, hata ukifa kitakachofuata kwa heshima kitaifaa familia yako kwa haki, vinginevyo ni ujinga kukubali kifo wengine wabaki wanatumbua dunia.
Unajua maana ya kuzingirwa wewe? Unajua nyie watu msione watu wanatembea mkafirkia mchezo haya maisha ya ujeshi watu wanahenya ili wewe upate muda ule chips na kuku dororo..sio rahisi na kwasabbu hujui vita nakushauri kula kiroba kimya kimya....ww kwanza naamini ungejiharishia kabla hujaomba hata kuuwawa...Ningeshawishika kumuona shujaa kama angejiokoa katika dhahama hiyo lkn kwa kujiua namuona muoga tu wa mapambano komandoo gani mjinga mjinga bora kajiua.
Wakati mwingine ni bora kusoma tu bila kukomenti chochote.Ningeshawishika kumuona shujaa kama angejiokoa katika dhahama hiyo lkn kwa kujiua namuona muoga tu wa mapambano komandoo gani mjinga mjinga bora kajiua.
Hapa jana kwenye jamvi kuna kijana alikuwa anataka kazi ya upelelezi jeshi la polisi ila hataki kwenda depo yeye anadhani walioweka utaratibu wa depo haziwatoshi, aje apate picha halisi ya kazi anayoitaka kwa mfano wa kijana huyu.Huyu komandoo mrusi alijiua huku akifa na wapiganaji kadhaa WA Isis, mpaka waarabu walishangaa mbinu Yao imewamaliza wenyewe.
Walipiga bom aina gani mpaka mwili wakaenda kuuzika moscow? , au grenade. Alafu huyu askari kafa hajafaidi dunia kabisa kapata hasara kweli, ni bora angekuwa straiker wa mpira angekuwa kama ronaldo anakula kuku, yaani zile club kali za pale moscow kama ile ya Mio Dj Cafè hajafaidi kabisa.
Ndani ya JWTZ hakuna mtoto Wa Kigogo, mule Luna wananeshi wapiganaji Wa JWTZ tu, not otherwiseBw mdogo kabisa. Msiseme uzalendo hatuna, uzalendo unajengwa kwa gharama kubwa. Huku kwetu nani yuko tayari kwenda kufia nchi kati ya watoto wa vigogo waliojazana jeshini? Wanakwenda kama fursa ya ajira ikizingatiwa hatuna choko choko nyingi za kuhatarisha maisha yao.