Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,428
Mkuu hilo sidhani kama litafika New year.Wasilivnje tu Sanam ya shujaa huyo
Aliyouliwa Kifo cha kinyama
Ova
Hivi Lema aliwachukua watoto wake kuwasomesha?Hakika mpigania uhuru huyu ataendelea kuenziwa milele
View attachment 970226
Pamoja na kwamba aliuawa kinyama na watu waliotumwa na wanaofahamika lakini jeshi la polisi lilijivika miwani ya mbao , Bali kinachojulikana ni kwamba HAKUNA MIONGONI MWA WAUAJI WA ALPHONCE MAWAZO ATAKAYESALIMIKA.
Mungu ibariki Chadema .
Bila ya shaka yoyote .Hivi Lema aliwachukua watoto wake kuwasomesha?
Asante kwa akiyetoa wazo hilo, natamani kujua liko sehemu gani hapo geita ili name nikapige walau picha na Kamanda wetu (RIP Kamanda Mawazo)Walilinde ili CCM au polisi wasije kulivunja.
Interahamwe wanauona upepo unavyobadilika wameingia mitini na wanajua tunawajua listi yao yote hawana ujanja wakijaribu tena cha moto watakiona na wao wanajua hilo.ni mwamko wa ajabu sana ! kujenga sanamu kwenye mkoa katiri zaidi africa kama geita ni ujasiri wa ajabu sana ! ( kumbuka kwamba Geita ndio eneo linaloongoza kwa unyama Barani africa kwa sasa )
Shetani hajawahi kumshinda Mungu .Mkuu hilo sidhani kama litafika New year.
Thubutuuu!!!!...Mtandao against Magufuli umepamba moto ndani na nje ya CCM.Walilinde ili CCM au polisi wasije kulivunja.
Kila aliyehusika atalipwa kwa ubaya , dawa ya moto siyo maji .Jamaa alikufa kifo cha mateso sana
R.I.P brother
Na nani anamlea mjane?Bila ya shaka yoyote .
Mbona wanajulikana.wataface justice.Kila aliyehusika atalipwa kwa ubaya , dawa ya moto siyo maji .
Mkuu hilo sidhani kama litafika New year.