Kwedu Kwazu
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 504
- 71
[h=3]
[/h]
Umelenga penyewe Kiongozi.Safi Sana Na Kuna Misiba Mingi Ya Aina Hiyo Inakuja Kuanzia Kesho ILA Kuna Uwezekano Pia Mkubwa Sana Pakatokea Sasa Msiba Wa Kweli Kweli Pale Jaji Mstaafu Lubuva Atakapomtangaza Rasmi Rais Wa Tanzania Hapo Kesho Kutwa Alhamisi Mnamo Saa 3 Asubuhi Kwani Kuna Watu WALIKOPA, WAKAKOPA Na Wamemaliza Juzi Juzi Tu KUKOPA Wakitegemea Kuwa Wakiwa Madarakani WATAZIRUDISHA Hizo Hela KIULAINI Na Mambo Yanaelekea Kwenda Ndivyo Sivyo Huku Mwanamume Wa CHATO TINGATINGA Akiendelea Tu Kuwasha Indiketa Yake Ya Gari TZ HAPA KAZI TU Kuelekea IKULU.
mingi sana hiyo, mwaka mmoja tuBaada ya miaka miwili wataanza kulalamika...
mingi sana hiyo, mwaka mmoja tu