Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wote tunajua shughuli kuu za kiuchumi Kama Kanda ya Ziwa ni Uvuvi, kilimo, ufugaji, madini.
Kanda ya Kaskazini Kuna Kahawa, Mahindi, Migomba
Kanda ya Kati Wanalima Zaidi Alizeti, Karanga, Zabibu na Mahindi pia
Mbeya Wanalima Zaidi mpunga, Mahindi pia nk.
Wakuu Case Study ya Mada Hii ni Mkoa Wa Mara
Aslimia kubwa ya wananchi wa Mkoa Wa Mara ni wakulima na zao kuu ni muhogo kwa ajili ya kinga ya njaa na Biashara kidogo.
Na pia Zao kuu la Biashara ni Pamba lakini uzalishaji wake umepungua sana kutokana na kushuka kwa bei na gharama kubwa za madawa.
Alizeti Kwa Mkoa Wa Mara inalimwa kidogo lakini kuna changamoto ya mbegu na madawa.
Natambua juhudi za mhe. Mbunge Muhongo Mbunge Wa Musoma Vijijini kuwaunganisha wavuvi ili wafuge samaki kwenye vizimba.
Humu kuna wenyeji Wa Mkoa Wa Mara na watalaamu wenye uzoefu kwenye angle ya Kilimo
Naomba tusaidiane je tunaweza kuanzisha kilimo cha zao gani litakalo weza kuwaongezea kipato wananchi wanaoishi Mkoa Wa Mara asa Halmashauri ya Musona Vijijini?
Asanteni
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kanda ya Kaskazini Kuna Kahawa, Mahindi, Migomba
Kanda ya Kati Wanalima Zaidi Alizeti, Karanga, Zabibu na Mahindi pia
Mbeya Wanalima Zaidi mpunga, Mahindi pia nk.
Wakuu Case Study ya Mada Hii ni Mkoa Wa Mara
Aslimia kubwa ya wananchi wa Mkoa Wa Mara ni wakulima na zao kuu ni muhogo kwa ajili ya kinga ya njaa na Biashara kidogo.
Na pia Zao kuu la Biashara ni Pamba lakini uzalishaji wake umepungua sana kutokana na kushuka kwa bei na gharama kubwa za madawa.
Alizeti Kwa Mkoa Wa Mara inalimwa kidogo lakini kuna changamoto ya mbegu na madawa.
Natambua juhudi za mhe. Mbunge Muhongo Mbunge Wa Musoma Vijijini kuwaunganisha wavuvi ili wafuge samaki kwenye vizimba.
Humu kuna wenyeji Wa Mkoa Wa Mara na watalaamu wenye uzoefu kwenye angle ya Kilimo
Naomba tusaidiane je tunaweza kuanzisha kilimo cha zao gani litakalo weza kuwaongezea kipato wananchi wanaoishi Mkoa Wa Mara asa Halmashauri ya Musona Vijijini?
Asanteni
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app