Ahsante mkuu nitafika hapo InshaAllah, ila hii sehemu ina kila kitu cha kuingiza top dollars hapa, wao wamewekeza wanatengeneza pesa,they don't take a shit kwa mlala hoi, hawajawekewa mazingira yeyote ya kuingiza pesa, pesa kwa royal families tuHii nchi hii acha tu.. Hapo upande wa pili kuna mlima una unyayo mmoja mkubwa ni Mojawapo ya utalii pia ila tumelala tu.. Ulizia mguu wa Mungu ukiweza ufike kileleni uta enjoy
Sent using Jamii Forums mobile app
Check hii video kisha uendeAhsante mkuu nitafika hapo InshaAllah, ila hii sehemu ina kila kitu cha kuingiza top dollars hapa, wao wamewekeza wanatengeneza pesa,they don't take a shit kwa mlala hoi, hawajawekewa mazingira yeyote ya kuingiza pesa, pesa kwa royal families tu
Check hii video kisha uendeAhsante mkuu nitafika hapo InshaAllah, ila hii sehemu ina kila kitu cha kuingiza top dollars hapa, wao wamewekeza wanatengeneza pesa,they don't take a shit kwa mlala hoi, hawajawekewa mazingira yeyote ya kuingiza pesa, pesa kwa royal families tu
Ko Ali kua ana jikojolea au😂🤣🤣Mrembo tu huyu.View attachment 2861413
Aah wee, mi nakojoa pazuri😂🤣🤒Hakuna mwanamke mbaya
Yeah,nilitamani niseme nao jambo lakini nikahofia pia kijana aliwahi kumpandisha usafiri na kuondoka.Ko Ali kua ana jikojolea au😂🤣🤣
Ninajipanga nitembeleeCheck hii video kisha uende
View: https://youtu.be/2V5SqDlxghg?si=bRvrzy7GKf9cbaSk
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu mshana ameufanyia maombi yake ya manyanga tayari.Na huu utafungwa tu antonia akianza mambo ya smart wake [emoji23][emoji23][emoji23]
Ko kumbe yeye ndo mzinguaji😀😂Na huu utafungwa tu antonia akianza mambo ya smart wake [emoji23][emoji23][emoji23]
Am gud bro, vipi Kuna wine zisizo na kilevi??Ni safi kabisa,what's up with you?
Situmii kilevi so sifahamu chochote kuhusu hilo.🤣Am gud bro, vipi Kuna wine zisizo na kilevi??
Tuko wengi😂😀🤣🤣, situmii kilevi, sigara au mihadarati.Situmii kilevi so sifahamu chochote kuhusu hilo.🤣
Mpuuzi sana wewe kijana,🤣Tuko wengi😂😀🤣🤣, situmii kilevi, sigara au mihadarati.
👉Shida nataka new taste, apart from soda and fresh juices.
👉 Nakojoa pazuri 🤒