binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,940
- 22,433
Kama wameafford kiingilio kilichowekwa sioni tatizo.Huko nasikia 40% Ya raia wetu ni wafanyakazi za ndani
Kama wameafford kiingilio kilichowekwa sioni tatizo.Huko nasikia 40% Ya raia wetu ni wafanyakazi za ndani
Hahaha eti kujaza ni kawaida, wabongo kwakurahisisha maisha!Wa oman waliotokea tz ni wengi sanaa, yan ile miji yote ya waarabu tz imehamia oman, yan ukienda kule unaweza ukakuta kijiji chako chote kipo muscat, kwa mfano kwa nzega Tabora kuna vjij vya warabu kama mwamala, itobo, bukene, mwangoye, nzega penyewe, ruhumbo yan asilimia 80 ya warabu walshapewa uraia oman, so kujaza huko ni kawaida maana nisawa anafanya show tz tuu na msanii yoyote anaetamba tz na kule pia wanamjua maana kutwa wanashinda wanafatilia habar za tz maana ndio kwao na wanazungumza kiswahil pia
Sasa sehemu yenyewe asilimia kubwa ya watanzania utashindwaje kujaz watu??? Yani hapoo ni sawasawa na uende kupiga show mombasa au Nairobi maana kwanza unakutana na watu ambao wanaelewa Kiswahili na wanafatilia mambo ya TanzaniaHahaha eti kujaza ni kawaida, wabongo kwakurahisisha maisha!
manake nini mkuu?Ungejua kwamba Diamond alikua curtain raiser kwenye hyo event,usinge fungua mdomo
Unasahau kuwa kuna wasanii wanaandaa show hapahapa bongo na hawajazi hivyo? Sio rahisi kama unavyojitahidi kueleza hapa, okay byee!Sasa sehemu yenyewe asilimia kubwa ya watanzania utashindwaje kujaz watu??? Yani hapoo ni sawasawa na uende kupiga show mombasa au Nairobi maana kwanza unakutana na watu ambao wanaelewa Kiswahili na wanafatilia mambo ya Tanzania
Hawez mkuu Mungu hamuabish MTU mwenye bidii hata siku moja ukikichukia kitanda utajir utakuwa rafk yakatafilisika tu
Je hao wasanii ni level gan? Dmond au alikiba au kina hamo rapa ndio unawazungumzia??Unasahau kuwa kuna wasanii wanaandaa show hapahapa bongo na hawajazi hivyo? Sio rahisi kama unavyojitahidi kueleza hapa, okay byee!
Please please i beg you! usitolee mfano ile ya Dodoma.Unasahau kuwa kuna wasanii wanaandaa show hapahapa bongo na hawajazi hivyo? Sio rahisi kama unavyojitahidi kueleza hapa, okay byee!
nimemaliza, kama hakuelewa namaanisha nini basiiiiii.Please please i beg you! usitolee mfano ile ya Dodoma.
Asee Davido kaisha kimuziki siyo ishu, yaan kila akitoa wimbo unagoma
Siku hizi nime bako kusikiliza dodo tu
so ilikuwa free?!Usiseme uwanja, sema nje.
Rejea show iliyopewa jina la mwendokasi festival na show ya dodoma x_mas pamoja na kiba kuwepo ziliflop so kujaza ukumbi cyo kazi ya kitotoJe hao wasanii ni level gan? Dmond au alikiba au kina hamo rapa ndio unawazungumzia??
hata mm sioni Tatzo maisha popote mkuuKama wameafford kiingilio kilichowekwa sioni tatizo.
Hater. ......Usiseme uwanja, sema nje.