PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,256
- 17,913
Hahaha tuliambiwa anafanya show kubwa na Bruno Mars
Nashangaa sioni mrejesho
Bruno Mars kaogopa kufunikwa na King kwahiyo show ilibidi ifutwe tu.
Hahaha tuliambiwa anafanya show kubwa na Bruno Mars
Nashangaa sioni mrejesho
Bro unafaham unaloliongeaAsee Davido kaisha kimuziki siyo ishu, yaan kila akitoa wimbo unagoma
Siku hizi nime bako kusikiliza dodo tu
Bruno Mars kaogopa kufunikwa na King kwahiyo show ilibidi ifutwe tu.
Bruno mars rappaBruno Mars kaogopa kufunikwa na King kwahiyo show ilibidi ifutwe tu.
Anapost picha za airport za show hataki kujionesha
HahahahaBro unafaham unaloliongea
Umenena vema.Na 75% ya walioko huko Oman,wana asili ya Tanzania.Ukisikia wafanyakazi wananyanyaswa,hawanyanyaswi na watu wa mbali,ni wenye asili ya Tanzania(kule wanaitwa waswahili)wana wanyanyasa watanzania wenzao.Na ndio huyo wamejazana hapo kwenye show hiyo.Kule wamepewa Uhuru,ngoma zote za asili za Tanzania,wanapiga na kucheza na kuimba kikabila.Japo ni nchi ya kiislamu,lakini wapo wasio na dini kama hao unaowaona.
Ndio pale unaposikia mfanyakazi wa ndani,kanyanyaswa,au kafanyiwa lolote baya,ni watanzania wanawafanyia ubaya watanzania wenzao,sio wenyewe waarabu.Hao watanzania wanaoishi Oman,kule wanahesabika ni waswahili.Wa oman waliotokea tz ni wengi sanaa, yan ile miji yote ya waarabu tz imehamia oman, yan ukienda kule unaweza ukakuta kijiji chako chote kipo muscat, kwa mfano kwa nzega Tabora kuna vjij vya warabu kama mwamala, itobo, bukene, mwangoye, nzega penyewe, ruhumbo yan asilimia 80 ya warabu walshapewa uraia oman, so kujaza huko ni kawaida maana nisawa anafanya show tz tuu na msanii yoyote anaetamba tz na kule pia wanamjua maana kutwa wanashinda wanafatilia habar za tz maana ndio kwao na wanazungumza kiswahil pia
davido karudi..cheki if nyimbo yake mpya..Asee Davido kaisha kimuziki siyo ishu, yaan kila akitoa wimbo unagoma
Siku hizi nime bako kusikiliza dodo tu
Yeah nimeenda ku ucheki, thogh si wimbo mzuri ila kweli karejea rejeadavido karudi..cheki if nyimbo yake mpya..
Hilo ni jambo ka kawaida duniani kote!! Hata hawa Wa-Naija unakuta wanapiga sana pesa kwenye muziki kwa sababu wa-Naija wamesambaa sana duniani kwahiyo kila wanakoenda kupiga show inakuwa nyomi... lakini sio nyomi la wazungu bali wa-Naija wenzao na wengine from West Afrika!Wa oman waliotokea tz ni wengi sanaa, yan ile miji yote ya waarabu tz imehamia oman, yan ukienda kule unaweza ukakuta kijiji chako chote kipo muscat, kwa mfano kwa nzega Tabora kuna vjij vya warabu kama mwamala, itobo, bukene, mwangoye, nzega penyewe, ruhumbo yan asilimia 80 ya warabu walshapewa uraia oman, so kujaza huko ni kawaida maana nisawa anafanya show tz tuu na msanii yoyote anaetamba tz na kule pia wanamjua maana kutwa wanashinda wanafatilia habar za tz maana ndio kwao na wanazungumza kiswahil pia
atafilisika tuChibu kashasoma mwisho mwanzo na anajijengea msingi sasa hivi ili akiistaafu music aingize pesa kama jigga ndo maana kaanza kuwekeza mapeema yasije yakamkuta ya Mr nice..mjanja sana jamaa naskia alipo pale chibu ana nyumba nying kapangishia watu!,,ukimuona unamchukulia poa tu ila kuna mambo mengi ya kujifunza ktk maisha ya chibu asikiaye na afahamu
Wewe ndo mwenye kuyafikiria mambo.Huko nasikia 40% Ya raia wetu ni wafanyakazi za ndani
Tuseme huyo CEO hakumuona Hamorappa?Diamond akikabidhiwa Gold Card kutoka kwa CEO wa Oman Air
View attachment 486708