Should we not to...?

Mke/mume ni tabia, wakati huohuo uwe tayari kuoa/kuolewa na huyo ulie nae. Tatizo ni kwamba.....Before marriages all our emotions zinakuwa zimekufa. Sasa itafika point ambayo emotions zitaanza kufufuka, hapo ndipo kazi marumbano yanaanza. Emotions hufufuka kutegemeana na wanandoa walivyozizika hizo emosions. Uzikaji hutofautiana, maana kuna wengine huzizika moja kwa moja na haziji fufuka, ila kunawengine huzizika (sijui miguu huwa nje) kwa mwezi, zina kuwa zimefufuka

Nikiangalia umri wangu unakimbilia 30, nikifikilia mke wangu atakuwaje huku nikishuhudia baadhi ya matukio ya ndoa BASI huwa namwambia Mungu "Wewe ndie unaeweza, naimani utanipa mke ambae tutasaidiana katika vitu vyote ..............................."

Nilikuwa nafikilia nikioa niweke "Marriage constitution". Na hii constitution iwe inafahamika na pande zote mbili, mimi na huyo mke wangu. Na iwe imeandaliwa kabla ya ndoa. Na tuwe tumeandaa wote wawili, tukiweka na adhabu pale mtu avunjapo....
Wana JF ninachowaza kinawezekana au?

Ba Mkubwa,umesikia FL1 ana discount ya 20% leo kwenye banda lake la mama ntilie? nashauri twende kabla haya mambo hayajatuchanganya kabisa....
 
Ba Mkubwa,umesikia FL1 ana discount ya 20% leo kwenye banda lake la mama ntilie? nashauri twende kabla haya mambo hayajatuchanganya kabisa....

Kweli mkuu maana ukifikilia sana kuhusu mke wako mtarajiwa unajikuta hata kumalizia kazi ni shughuri. Mbaya zaidi ni pale uonapo ndoa zinavunjika.

Kama mpenzi wako mnatofautiana hivi, je akiwa mke itakuwaje?...jamani niende wapi
....
Marriage is a complex relationship that involves 2 (wengine 3,4,5,6,..) people of different
1. Sex
2. Age
3. background and
4. Mtazamo......hapo ndipo pana shughuri. The way we define......

Yote tisa, kumi tutafanyaje jamani? Tusaidie mliopo kwenye ndoa hasa ambazo hazina mikiki mingi....natambua huwezi inga jinsi ndoa ya Mr X inavyoendeshwa maana hampo sawa, mnatofautiana hata wake zenu wanatofautiana.Lakini kama ukapata mwanga jinsi jamaa anavyoishi na wife, basi unaweza ukabuni.....
 
...aisee mbona unataka kuharibu sura za watoto bana? mbaya zaidi wageni wakija nyumbani watamkonfyuzi mama watoto na 'hausigeli'...


Mbona una imani mbaya mkuu? siyo kwamba ma HG ni wabaya kwa sura.
 
Haya mambo ya ndoa ukifikiri sana yanachanganya, muhimu pata mtu mliopendana na kufanana kitabia kazi kwishaa.

haswaaaa! upo sawa, tatizo binadamu wa siku hizi hakawii kubadilika na hapo ndipo matatizo yanapoanzia)
 
Hapo ndipo inapokuwa ngumu. Unaweza kutafuta mpaka umri unapita. By the way Nimeipenda hiyo Pretty is senorita kwenye avatar yako. Ni 75%uhakika wa jinsia yako. Hahahaha!

Haina ugumu wowote cha msingi tabia zilingane. Kwa mfano: Kama wewe mtu wa club tafuta mtu wa club mwenzakeo, kama mnywa beer tafuta mnywa beer mwenzako ili ukienda bar wote mnaenda, na mnywa juice atafute mnywa juice mwenzake.
 
Mbona una imani mbaya mkuu? siyo kwamba ma HG ni wabaya kwa sura.

...sawasawa mheshimiwa, ninachomaanisha ni; nadra kukuta hausigeli mzuri kuliko mama mwenye nyumba. Ukikuta hivyo ujue hiyo nyumba ina walakini.
 
Ndoa/Mahusiano ya wakati huu kusema kweli yamekuwa magumu kuliko yale ya enzi za wazee wetu (at least ndivyo ninavyoamini mimi). Hali hii imenifanya niwe nawaza kwa mtindo wa what if angekuwa vile na si hivi. Nikajikuta nashawishika kuamini pengine ingekuwa tofauti ingawa sina uhakika.

Kwa kuwa nimeshuhudia miparanganyiko kwa couple ambazo either mmoja au wote wa wenzi hao ni kama ni:

mwanamke:
Ni mrembo wa sura, msomi, anakazi na kipato kizuri au ametoka katika familia bora kifupi ni mtu ambaye ni BORA.

Mwanaume:
Ni mzuri wa sura aka handsome/ana kazi nzuri na kipato kizuri/famous anajulikana na yeye mambo safi

couple nyingi zenye combinations za namna hii au mmoja anayo sifa ya aina hii ( kwa experience yangu) huwa zinatend kuwa na migogoro ya mara kwa mara hadi nafikia kuamini kuwa ni bora tunapochagua wenzi tukajaribu kuavoid extremes i.e. msichaguane wazuri sana, wasomi sana, mwenye kipato sana au anayejulikana sana (after all hii itasaidia kupunguza gap kati ya haves and have-nots no?)

au najidanganya?

Naomba mnisaidie:eek:

Mjukuu nimeishaona the same situation kama ulivyoanisha hapo juu sasa huwa ni sababu ya FAME and MONEY au ni hulka ya mtu mwenyewe tu.
 
Ndoa/Mahusiano ya wakati huu kusema kweli yamekuwa magumu kuliko yale ya enzi za wazee wetu (at least ndivyo ninavyoamini mimi). Hali hii imenifanya niwe nawaza kwa mtindo wa what if angekuwa vile na si hivi. Nikajikuta nashawishika kuamini pengine ingekuwa tofauti ingawa sina uhakika.

Kwa kuwa nimeshuhudia miparanganyiko kwa couple ambazo either mmoja au wote wa wenzi hao ni kama ni:

mwanamke:
Ni mrembo wa sura, msomi, anakazi na kipato kizuri au ametoka katika familia bora kifupi ni mtu ambaye ni BORA.

Mwanaume:
Ni mzuri wa sura aka handsome/ana kazi nzuri na kipato kizuri/famous anajulikana na yeye mambo safi

couple nyingi zenye combinations za namna hii au mmoja anayo sifa ya aina hii ( kwa experience yangu) huwa zinatend kuwa na migogoro ya mara kwa mara hadi nafikia kuamini kuwa ni bora tunapochagua wenzi tukajaribu kuavoid extremes i.e. msichaguane wazuri sana, wasomi sana, mwenye kipato sana au anayejulikana sana (after all hii itasaidia kupunguza gap kati ya haves and have-nots no?)

au najidanganya?

Naomba mnisaidie:eek:
mambo magumu sana haya.............!
''the king'' ana dawa moja tu pale mambo yanapokwenda mrama......INFIDELITY:smile::smile::smile:
 
...aisee mbona unataka kuharibu sura za watoto bana? mbaya zaidi wageni wakija nyumbani watamkonfyuzi mama watoto na 'hausigeli'...

We baba acha ubaguzi lol kwa hiyo sie wenye sura mbaya tusiolewe mwe?
 
Kweli mkuu maana ukifikilia sana kuhusu mke wako mtarajiwa unajikuta hata kumalizia kazi ni shughuri. Mbaya zaidi ni pale uonapo ndoa zinavunjika.

Kama mpenzi wako mnatofautiana hivi, je akiwa mke itakuwaje?...jamani niende wapi
....
Marriage is a complex relationship that involves 2 (wengine 3,4,5,6,..) people of different
1. Sex
2. Age
3. background and
4. Mtazamo......hapo ndipo pana shughuri. The way we define......

Yote tisa, kumi tutafanyaje jamani? Tusaidie mliopo kwenye ndoa hasa ambazo hazina mikiki mingi....natambua huwezi inga jinsi ndoa ya Mr X inavyoendeshwa maana hampo sawa, mnatofautiana hata wake zenu wanatofautiana.Lakini kama ukapata mwanga jinsi jamaa anavyoishi na wife, basi unaweza ukabuni.....

Kiukweli mwanamke ndiye anaeweza kuisimamisha ndoa au kuivunja period....... wamama zetu zamani walikua wavumilivu mno akiachwa na njaa hujui na alikua hata anaweza kuletewa mwanamke ndani anashushwa kitandani wanalala baba na hawala yake na asubuhi unawatengea chai na maji ya kuoga na bado husikii kwa jirani linabaki kuwa siri na wala mama hanuni so mwanamama ukiamua kuwa cool mambo lazima yaende byeeeeeeeeeeeeeee kwenye hiyo ndoa
 
My poor lady MJ1, jibu la ndoa sio kama hisabu ati, kwamba ukijumlisha moja na moja jibu lake mbili!
hata zamanai kulikuwa na mambo mengi tu sema no one took an effort to expose them. Starehe
zimeongezeka pia. Ukiingina internet cafe siku hizi ukaona wototo wa darasa sijui la nne wanachoangalia
humo, u will never go there again. Mimi nadahani we are getting westernized na inakuja with everything!
You just need to look at the divorce rates in say US to believe ..........
 
Kiukweli mwanamke ndiye anaeweza kuisimamisha ndoa au kuivunja period....... wamama zetu zamani walikua wavumilivu mno akiachwa na njaa hujui na alikua hata anaweza kuletewa mwanamke ndani anashushwa kitandani wanalala baba na hawala yake na asubuhi unawatengea chai na maji ya kuoga na bado husikii kwa jirani linabaki kuwa siri na wala mama hanuni so mwanamama ukiamua kuwa cool mambo lazima yaende byeeeeeeeeeeeeeee kwenye hiyo ndoa

Siku hizi kinawashinda nini kufuata nyayo za kina mama wa zamani ili ndoa zenu zidumu?
 
Hivi kumbe una sura mbaya?:nono::nono::nono:


Hahahaaaaaaaaaaaaaa we baba acha ubaguzi wakati unamchagua mama yangu mwenye sura mbaya ulitegemea nini mtoto kazaliwa wajifanya kushangaa
 
Siku hizi kinawashinda nini kufuata nyayo za kina mama wa zamani ili ndoa zenu zidumu?

Zamani wamama zetu walikua wanaogopa kuachika wataenda wapi hana a wala be lakini xku hz baba ana diploma mama ana Phd unategemea hiyo ndoa idumu:nono::nono::nono::nono: ni chache sana oa mama wa nyumbani uone utakavyo nyenyekewa aende wapi?
 
couple nyingi zenye combinations za namna hii au mmoja anayo sifa ya aina hii ( kwa experience yangu) huwa zinatend kuwa na migogoro ya mara kwa mara hadi nafikia kuamini kuwa ni bora tunapochagua wenzi tukajaribu kuavoid extremes i.e. msichaguane wazuri sana, wasomi sana, mwenye kipato sana au anayejulikana sana (after all hii itasaidia kupunguza gap kati ya haves and have-nots no?)

au najidanganya?Naomba mnisaidie:eek:
Follow your heart..............................your conscience will never lie to you........that is a fact.............mengine yote ni hayana uzito..........ingawaje ninakubaliana na wewe kuwa mahusiano ni kutoshelezana na mkifanana sana kuchokana ni rahisi kwa sababu hamtaweza kujaliziana maeneo yenye mapungufu kwenu...............the strength of a relationship lies in diversity but not conformity..............
 
Yeah ndo maana mm msimamo wangu wa kuoa mwanamke mwenye sura mbaya na kavu kama anapuliza moto wenye Moshi mkali upo pale pale ukioa mrembo Mapapa au Mapedeshee wanaanza kukugongea aku hivi hivi ya nn ufe kwa kiholo MJ1,Nyamayao?

ishu hapa ni kwamba utakuwa umempenda kutoka rohoni yaani umeamua awe ubavu wako wa kufa na kuzikana au utakuwa umefanya kuwa nae kwa ajili ya kuogopa hao mapapa then mwishowe unatafuta wa kwenda nae kwenye party coz huyo wako haangaliki mara mbili? hapo tatizo tayari....naweza nikakubaliana na MJ1 kwamba uhusiano wa sasa wa kuchaguana wa hali fulani nadhani watu wanataka kukata makali ya maisha, mambo ya kusaidiana ndani kwa kila hali, sio ile kama ya wazee wetu kwamba baba alikuwa kila kitu, sasa ktk kuchaguana huku tuna base kwenye kupunguza makali ya maisha lakini hatuchukulii kivile maana halic ya ndoa...ndio mana ndoa zetu za sasa zinayumba kushoto kulia...kila mmoja yupo juu kutokana na kipato/maisha mazuri ya familia yake huko alipotoka/hakuna uvumilivu/kuckilizana bac lazima tuyumbe kwa sana tu....holaallala...T.G.I.F
 
Hata uchague sura mbaya kama ya shetani,haisaidii kwani kinachosababisha ni sura au ni ile hali iliyopo ndani ya moyo wake??.Aweza kuwa mzuri na mawazo mazuri mkaishi raha mustarehe,aweza kuwa na sura mbaya kama unavyodai na mkaishi hivyo hivyo kwa shida.Kwenye ndoa ni maelewano tu na sio sura.Hawa wenye sura nzuri nakuhakikishia ni waelewa sana na wazuri kuishi nao usiogope,challenges ndogo ndogo hizo ni changamoto tu za kawaida.Chagua kitu kizuri,usiache eti kwa ajili ya sura nzuri kuwa atakusumbua,acha kwa kuwa tabia zenu haziendani.
Kikubwa katika ndoa ni kumtanguliza Mungu vinginevyo utayumba.
 
Back
Top Bottom