Shost yangu anamtaka, yeye ananitaka mimi

Shost yangu anamtaka, yeye ananitaka mimi

Ameachwa mwenye hela na mkubwa wewe umri wako na wa huyo mkaka mko sawa? wewe hela unazo? jiulize why amuache mwenye nazo akutake wewe? mimi sio mwanamme ila ukiniuliza hapo waha huitaji tochi,kama umeshaanza kuingi ujue anawavua nguo nyote sasa hapo mwenye kisu kikali ndio atakae chukua huyo Ben10 na hapo trust me akisha kumega tuu anahamia kule kwa mwenzio na wewe ushoga unaishia hapo,ebu jifunze kusema NO bora utafute kwengine heshima itakuwepo ...
 
Kwa nn mnafichana siri ...ndio anatumia fursa hiyo kwa vile hamuambizani na kila mmoja wenu anajifanya hana nae mahusiano ndio anatumia fursa. Inshort ameishatembea na mwenzako na anataka amalizane na upande wako pia.
Akimaliza hizo story za ndoa na hayo maneno unayosema umeyasikia matamu yatayeyuka.


Dating njema
 
Hii ilishanitokeaga..the same thing...mimi ndiyo ningekuwa yeye ningewagonga wote wawili....bila nyie kujua...halafu mkishajuana nitabaki na mmoja atakayekuwa tayari kuendelea na mimi.......na mahusiano yetu wote watatu yatakuwa kwenye another level..mmoja rafiki mmoja mpenzi/mke ....na nyie wawili mtabaki kuwa mashoga lakini siyo wa karibu kama mwanzo...maisha yataendelea
 
Kama huyo dada ni rafiki yako kweli mweleze afu uone atakujibu nn hapo utamwelewa vizuri huyo mwanaume ila mkiendelea kufichiana mtaliwa wote na atawaacha wote
 
Sisi wakenya twasema huyo boy anataka tu mumpeane "katiba" asome hakuna ingine yenye anataka huyo
 
Nimependa hapo uliposema kuwa umeanza kumpenda!![emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wanawake bwanaa,mpe tu dogo akishindie coz umeshazama kwake
 
Huyo Dogo anataka akutafune kirahisi, so huenda hajatongozwa na huyo Dada ila ameamua ajipe thamani kwanza
Haha hii bidhaa wanaitaka wengi, ukichelewa tuu wanachukua wenzako............,hapo unaweza chukua hata kama bei ni kubwa
 
Ikiwa ni kweli, basi vema huyo "mkaka" akamkubali shost ako, bora mke akupende kwa dhati kuliko mme ndo awe kapenda zaidi
 
Jamaa anagonga huyo rafiki yako na anachotumia sasa ni divide and rule kwa maana anawagawa halafu anawagonya wote. Kwa kuwa mwenzako ameshakuwahi achana na huyo kaka otherwise atawamega wote na atawatosa na mkabaki na ugomvi kama wa Wema na Kajala
 
Nmependa hapa "nimrembo sana na mimi nimrembo kias".

......lkn shost ,,maelezo yote ulotoa nikwamba hata weee unampenda huyo Kijana Basi tu kua maurafiki nashost ndo inakutatizo.

Ninachokiona.....Nyote wawili mtaliwa najamaaa!!!.
 
Usikilize moyo wako. Hakuna atakayeweza kuusemea moyo wako wala hakuna atakaye jua hisia zako kwake. Haya ni mapenzi na mapenzi ni kikohozi
 
Back
Top Bottom