Shost yangu anamtaka, yeye ananitaka mimi

Shost yangu anamtaka, yeye ananitaka mimi

Asanteni wote mliochangia kila comment nimeisoma nanimejifunza kitu
 
Kama unampenda kuwa nae tuu kwani huyo shost ako si anasema hayuko nae?? Kama humpendi basi mwambie ukweli shostio kuwaa huyu bwana kaka anakutaka ili kama mbwai iwe mbwai
 
Mapenz ni Sanaa kubwa kuliko Sanaa ya uchongaji,something big is about to happen...,tuliza sana akili Dada!
 
Akisha kulala tu ndo utaijua rangi yake saizi bashasha nyingi coz ujamuonjesha gukitumbua gwako Ila ukisha mfunulia tu akajua radha ya mashavu ya k yako ikoje ndo utamjua Kama ni kenge, mamba, au chura....
Baada ya hapo anakuja kulialia humu anaomba ushauri
 
kilichopo hapo mnajengewa mazingira ya kuliwa wote wawili na mchezo unavyoonyesha rafiki yako alishaanza kutafunwa kitambo ijapokuwa wewe rafiki bado hajakuweka wazi na unaamini tu yale maelezo ya rafiki kuwa ni mwanafamilia wa hiari....sasa jamaa anataka aonje na side B ajue mambo yapoje ,cha msingi tambua kwamba jamaa ameshawasoma nyote wawili kuwa kuna baadhi ya mambo hamuwezi kuelezana wazi bado mnafichana na mwanga anautumia huo mwanya effectively ili mkija kuamka kuvuta shuka tayari patakuwa pameshakucha
 
Back
Top Bottom