Shost yangu anamtaka, yeye ananitaka mimi

Shost yangu anamtaka, yeye ananitaka mimi

Latifaa

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2012
Posts
501
Reaction score
258
Nawasalimu wote hamjambo?
Hii dunia huwa ina mambo kwakweli nimeona itapendeza kushare na nyie magreat thinker hili jambo maana jf haijawahi kumtupa mtu.

Iko hivi nina rafiki yangu ninaemuheshimu sana tena sana tunasaidiana kwa mengi mno ya muhimu anaweza kuwa hata anazidi ndugu kwa jinsi tulivyo na wote sisi ni masingle maza yeye ni divorced ni mrembo sana na mimi pia ni mrembo kiasi.

Niende kwenye point, Shost yangu huwa ana ukaribu sana na kijana mmoja na huwa wanashare mambo mengi ya kimawazo na kimaisha kwa ujumla na huwa anamchukulia kama mtu wa familia yake kama ndugu kabisa na mimi huwa na muheshimu huyo kijana kama kaka tuu sio zaidi.

Huyu kaka huwa tunaelewana sana story za hapa na pale tunacheka basi na most of the time huwa anapenda kuja home kwangu au tunaweza kaa mahali kwa kinywaji tunatia story kila mmoja kwao hiyo tumezoeana sanasana hadi wakati mwingine Shost wangu anahisi labda tunamahusiano na huwa ananiuliza namimi huwa namwambia aache utani maana kitu kama hicho akiwezi kutokea kamwe.

Kwa mimi, chakunishangaza sikumoja tukiwa kwenye maongezi huyo kaka akaniambia kuwa shost wangu anamtaka kimapenzi tena kwa muhemko wa hali ya juu kwamba anataka amuoe duu ila kwake imekua kama surprise kubwa hakutegemea na wala hana feelings nae ila kumwambia direct anashindwa sasa rafiki yangu anabakia kuumia maana hamuelewi kaka kiumri ni mdogo kidogo.

Kwa shost yangu na shost yangu ana mkwanja mrefu sana kwahiyo anamuahidi huyu kaka vitu vingi ila kaka hatikisiki wala havutiwi sanasana huyu kaka hataki kumuonyesha huyu dada dalili yoyote ya kimahaba ili asije kumuumiza maana hamuhitaji kimapenzi zaidi ya maswala ya kawaida kindugu basi,

Mtihani uko hapa sasa ndio pamenifanya nitiririke kwenu eti huyu kaka anadai anahisia na mimi kupitiliza kwamba ananipenda sana hata kama kwasasahivi siko tayari nijue tuu naniliweke moyoni ujue sikutegemea alichokua anakitamka nimebaki nimepigwa na butwaa huku namtafakari rafiki wamimi huku namtafakari yeye hapo ikumbukwe tuu rafiki yangu hajawahi kunitonya chochote.

Kuwa anatengeneza maishano huyu kaka zaidi kuwa ananiambia kwanini nisiwe na maishano na huyo mbona tunaendana tuu mimi anamjibu siwezi na hautakaa itokee kumbe ananikejeli yeye ndio kafa kaoza kwahuyo mkaka jamani hii dunia inamambo huku mkaka ananibembeleza nimwelewe maana hajiwezi mhh wanaume nyienyie siwawezi.

Naombeni ushauri wenye mashiko jamani especially nyie wanaume ndio mnaelewana zaidi na drama zenu maana huyu kaka alivyonikomalia hadi naona naanza kumpenda maana hizo hoja alizozibeba kwenye maneno yake kweli kuingia mkenge sio kitu cha ajabu maana sasahivi ameshaanza kuniingiaingia moyoni na jinsi tulivyo jamii haiamini kuwa sitoki nae maana hapungui nilipo na akiwa na mimi anajaa furaha na bashasha kupita maelezo ushauri plz ushauri wa kiume itapendeza zaidi.
 
Nyie wanawake wengi nawajua vizuri, huwenda kila mmoja hamwambii uhalisia mwenzake mnapokutana kusimuliana ya huyo kaka.

Tena ikichangia Single mama wengi wanafantansy na peps za ndoa basi kila mmoja anavutia kwake kisirisiri.

Chalii anajipigia kule..amekuja kukuingia na wewe kiujanja akumege.[ni hisi tu]

Ila kama uliyoeleza ndiyo uhalisia basi Hapana budi ujiandae kugombana na rafiki yako wa siku zote uwekwe ndani.[hapa ndoa itakuwa na misukosuko inahitaji usimame kidete].
 
Nyie wanawake wengi nawajua vizuri huwenda kila mmoja hamwambii uhalisia mwenzake mnapokutana kusimuliana ya huyo kaka.

Chalii anajipigia kule..amekuja kukuingia na wewe kiujanja akumege.[ni hisi tu]

Ila kama uliyoeleza ndiyo uhalisia basi Hapana budi ujiandae kugombana na rafiki yako wa siku zote uwekwe ndani.[hapa ndoa itakuwa na misukosuko inahitaji usimame kidete].
Kaka umeongea ukweli mtupu
 
Nawasalimu wote hamjambo?
Hii dunia huwa ina mambo kwakweli nimeona itapendeza kushare na nyie magreat thinker hili jambo maana jf haijawahi kumtupa mtu.

Iko hivi nina rafiki yangu ninaemuheshimu sana tena sana tunasaidiana kwa mengi mno ya muhimu anaweza kuwa hata anazidi ndugu kwa jinsi tulivyo na wote sisi ni masingle maza yeye ni divorced ni mrembo sana na mimi pia ni mrembo kiasi. Niende kwenye point, Shost yangu huwa ana ukaribu sana na kijana mmoja na huwa wanashare mambo mengi ya kimawazo na kimaisha kwa ujumla na huwa anamchukulia kama mtu wa familia yake kama ndugu kabisa na mimi huwa na muheshimu huyo kijana kama kaka tuu sio zaidi, huyu kaka huwa tunaelewana sana story za hapa na pale tunacheka basi na most of the time huwa anapenda kuja home kwangu au tunaweza kaa mahali kwa kinywaji tunatia story kila mmoja kwao hiyo tumezoeana sanasana hadi wakati mwingine Shost wangu anahisi labda tunamahusiano na huwa ananiuliza namimi huwa namwambia aache utani maana kitu kama hicho akiwezi kutokea kamwe kwa mimi, chakunishangaza sikumoja tukiwa kwenye maongezi huyo kaka akaniambia kuwa shost wangu anamtaka kimapenzi tena kwa muhemko wa hali ya juu kwamba anataka amuoe duu ila kwake imekua kama surprise kubwa hakutegemea na wala hana feelings nae ila kumwambia direct anashindwa sasa rafiki yangu anabakia kuumia maana hamuelewi kaka kiumri ni mdogo kidogo kwa shost yangu na shost yangu ana mkwanja mrefu sana kwahiyo anamuahidi huyu kaka vitu vingi ila kaka hatikisiki wala havutiwi sanasana huyu kaka hataki kumuonyesha huyu dada dalili yoyote ya kimahaba ili asije kumuumiza maana hamuhitaji kimapenzi zaidi ya maswala ya kawaida kindugu basi,

Mtihani uko hapa sasa ndio pamenifanya nitiririke kwenu eti huyu kaka anadai anahisia na mimi kupitiliza kwamba ananipenda sana hata kama kwasasahivi siko tayari nijue tuu naniliweke moyoni ujue sikutegemea alichokua anakitamka nimebaki nimepigwa na butwaa huku namtafakari rafiki wamimi huku namtafakari yeye hapo ikumbukwe tuu rafiki yangu hajawahi kunitonya chochote kuwa anatengeneza maishano huyu kaka zaidi kuwa ananiambia kwanini nisiwe na maishano na huyo mbona tunaendana tuu mimi anamjibu siwezi na hautakaa itokee kumbe ananikejeli yeye ndio kafa kaoza kwahuyo mkaka jamani hii dunia inamambo huku mkaka ananibembeleza nimwelewe maana hajiwezi mhh wanaume nyienyie siwawezi
Naombeni ushauri wenye mashiko jamani especially nyie wanaume ndio mnaelewana zaidi na drama zenu maana huyu kaka alivyonikomalia hadi naona naanza kumpenda maana hizo hoja alizozibeba kwenye maneno yake kweli kuingia mkenge sio kitu cha ajabu maana sasahivi ameshaanza kuniingiaingia moyoni na jinsi tulivyo jamii haiamini kuwa sitoki nae maana hapungui nilipo na akiwa na mimi anajaa furaha na bashasha kupita maelezo ushauri plz ushauri wa kiume itapendeza zaidi.
Embu tueleze hayo maneno ya huyo kaka.
 
Penda unapopendwa, au kama humpendi basi jifunze kumpenda, utakuwa sawa tu ukishajifunza kupenda na upendo ukakubali kati yenu. we
Zingatia umri kwa mahusiano endelevu , maana ina raha na faida kubwa mwanaume akimzidi mwanamke umri.
 
kwanza ukubali uadui na shosti yako........pili ukushaingia usiwe na mashosti milele,,,,kipimo upimacho ndicho utakachopimiwa. tatu kama sio shosti yako kamwe usingefahamiana nae...nne jamaa anapiga kule....wanaume tunabaki kuwa wanaume milele.....nakushauri anza kumkwepa,,, tafuta wako....utakuwa na amani daima...umri unakwenda,,,,
 
kwa faida yako na kama unapenda ubest uendelee na huyo shoga wako achana kabisa na huyo kaka, tena mtoe moyoni kabisa, usije logwa ukaingia nae kwenye mahusiano, shoga ako akijua tu hilo kosa halisameheki na atakuona kama nyoka.....
halafu kwa nn masingle maza mnaweweseka sana kwa mtu ambae ameonyesha interest ? unahisi hutopata mwingine tena ? kaswali ka kizushi baba mtoto wako yuko wapi ?
 
kwanza ukubali uadui na shosti yako........pili ukushaingia usiwe na mashosti milele,,,,kipimo upimacho ndicho utakachopimiwa. tatu kama sio shosti yako kamwe usingefahamiana nae...nne jamaa anapiga kule....wanaume tunabaki kuwa wanaume milele.....nakushauri anza kumkwepa,,, tafuta wako....utakuwa na amani daima...umri unakwenda,,,,
Kaka asante una akili na hekima sana
 
1. Kama upo tayari kumchanulia goli huyo kaka probably utampoteza shosti wako kwasababu atakuwa na wivu atashindwa kuvumilia

2. Kama haupo tayari kuwa na huyo kaka pia utampoteza huyo shosti wako kwakuwa jamaa ataona kuliko kukosa vyote bora akachape kwa shosti yako. Mwishowe utaona wivu mtashindwana.


Hivyo basi chagua kile chenye unaona moyo wako unapenda zaidi.
 
Akisha kulala tu ndo utaijua rangi yake saizi bashasha nyingi coz ujamuonjesha gukitumbua gwako Ila ukisha mfunulia tu akajua radha ya mashavu ya k yako ikoje ndo utamjua Kama ni kenge, mamba, au chura....
Kwakweli ndio maana nilipendekeza ushauri wakiume nimekusoma sana
 
Tuambie lini unagawa card za mchango!!! Wajua ukitamani kulila embe na ukaliona juu ya mti likiwa limeiva vya kutosha na hakuna mawe wala fimbo, TRUST ME waweza tupa iphone yako ili ulidondoshe ulile,sasa ni shida kama ndo zile mambo za wowowo... kitaa tunasema "Tunachinjaga ng'ombe kwa oda ya maini"
 
Duuuh nimejikuta natafakari safari ndefu isiyo na mafanikio

Hapa umetuambia vitu vingi sana ila ukweli wewe unamtaka huyo mkaka na huyo shost anamtaka

Jibu ni rahisi sana chukua wasaa mzuri mwite shost wako na huyo kaka yenu umweke wazi shost yako mbele ya huyo dada

Ila Fanya kama saplaiz tu
 
1. Kama upo tayari kumchanulia goli huyo kaka probably utampoteza shosti wako kwasababu atakuwa na wivu atashindwa kuvumilia

2. Kama haupo tayari kuwa na huyo kaka pia utampoteza huyo shosti wako kwakuwa jamaa ataona kuliko kukosa vyote bora akachape kwa shosti yako. Mwishowe utaona wivu mtashindwana.


Hivyo basi chagua kile chenye unaona moyo wako unapenda zaidi.
Ngumu kumeza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom