Shortlist BOT na President Delivery Bureau

Shortlist BOT na President Delivery Bureau

Kenny Hill

Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
65
Reaction score
61
Ikifika tarehe 31 January hujaitwa kwenye short list ya zile kazi za hawa mabwana nadhani its safe to assume kuwa hukufanikiwa.

PDB walishaanza kuita watu na kuwa interview since December. Hawa Deloitte wameamua kuita kimya kimya na kumalizana nao kimya kimya.

BOT Mpaka kufikia ijumaa ya January 31st watakuwa wametoa short list. Hawa hawatafanya kimya kimya watatangaza very soon.

Kama hujaitwa mpaka January 31 basi utakuwa hujafanikiwa
 
Mtakaoajirirwa BOT mtawakuta hawa mabwana huko. Kila la heri


ORODHA YA WATOTO WA VIGOGO WANAOFANYA KAZI BOT
Filbert Sumaye,
Beatrice Bomani,
Pamela Lowassa,
Zacharia Kawawa,
Salama Mwinyi,
Salama Mahita,
Rachel Msekwa,
Jane Sitta,
Yasmine Karume,
Rabia Shein,
Joshua Nchimbi,
Gracia Mkapa,
Jane Diallo,
Likel Ngasongwa,
Andy Magufuli,
Thomas Mongela,
Jubilee Kigoda,
Raymond Zanga,
Ismail Meghji,
Morris Mramba
 
Mtakaoajirirwa BOT mtawakuta hawa mabwana huko. Kila la heri


Gazeti la Jamuhuri la October 23, 2012 Limewataja vijana wafuatao kuwa ni watoto wa vigogo waliojazana BOT: Kweli Tanzania ina wenyewe

Salama Ali Hassan Mwinyi
Filbert Tluway Sumaye
Zaria Rashid Kawawa
Blasia William Mkapa
Herriet Marten Lumbanga
Pamela Edward Lowassa
Rachel Muganda
Salma Omary Mahita
Justine Mungai
Kenneth Nchimbi
Violet Philemon Luhanjo
Liku Kate Kamba
Thomas Mongela
Jabir Abdallah Kigoda
Hatuitaji reference za miaka miwili nyuma wakati hazina mashiko....kuna changes nyingi zimefanywa na BOT pale shule tu ndo inakufanya upate kazi....
 
BOT elimu yako.. Pale pana watu makini na smart upstairs (kwenye akili zao)

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
BOT hakuna cha elimu wala nini...mwenye pass class anapata kazi nzuri wewe mwenye first class utaendelea kukaa mtaani na first class yako mpaka ma.k.alio yaote sugu...pale BOT kama wewe ni mtoto wa kigogo utapata ajira na kama sio sahau.
 
lazima ukae,mambo ya first class na pass yanaishia shuleni,unapoingia mtaani unatizamwa ni kiasi gani unaweza kuleta mchango katika ofisi na sio ulifaulu kiasi gani,kupata first class ni sifa ya kishule si sifa ya kikazi.
 
Last edited by a moderator:
jamani nyie mnaofanya hapo BOT tujuzeni progress imefikia wapi kwa zile nafasi zilizotangazwa? Hivi hata mishahara hapo imekuwa siri jamani? kuna mtu aliuliza mshahara hapo ni sh ngapi kwa fresh graduate hakuna aliyejibu isiwe siri jamani!
 
jamani nyie mnaofanya hapo BOT tujuzeni progress imefikia wapi kwa zile nafasi zilizotangazwa? Hivi hata mishahara hapo imekuwa siri jamani? kuna mtu aliuliza mshahara hapo ni sh ngapi kwa fresh graduate hakuna aliyejibu isiwe siri jamani!

sio lazima ujue kila kitu kijana kwani wewe unajua siku yako ya kufa acha kuwa na wasiwasi kama unaoga nje.
 
sio lazima ujue kila kitu kijana kwani wewe unajua siku yako ya kufa acha kuwa na wasiwasi kama unaoga nje.


Wewe katika maisha yako haujawahi kuhitaji kufahamu kitu? Kama siyo u are not a human being! kwanza naona hauna busara coz I see the way unavyojibu!
 
Acheni kudanganyana BOT kuna wanaoingia kwa akili zao na kuna wanaoingia kwa god father hili lazma liwe wazi ,hao vigogo wa pale manaosemaia wako makini wanaangalia mshule yako tuu kumbuka wamewekwa na vigogo wa serikali na hivyo amri ikitoka kwa mkuu kumpush kijana wake lazima lifanyike although anayebebwa hujikaza ,naamini hao wanaosaidiwa nao wana shule japo shule zao zinaweza kuwa sio kali kuliko wale wanaokosa ambao sio watoto wa vigogo,acheni kutudanganya nyinyi mlokunywa maji ya bendera ya bot
 
Acheni kudanganyana BOT kuna wanaoingia kwa akili zao na kuna wanaoingia kwa god father hili lazma liwe wazi ,hao vigogo wa pale manaosemaia wako makini wanaangalia mshule yako tuu kumbuka wamewekwa na vigogo wa serikali na hivyo amri ikitoka kwa mkuu kumpush kijana wake lazima lifanyike although anayebebwa hujikaza ,naamini hao wanaosaidiwa nao wana shule japo shule zao zinaweza kuwa sio kali kuliko wale wanaokosa ambao sio watoto wa vigogo,acheni kutudanganya nyinyi mlokunywa maji ya bendera ya bot

Maneno yako ni sawia kabisa. Huyo gavana mwenyewe mpaka kuja kuukwaa huo ugavana toka huko alikokuwa anabeba box alijileta au aliletwa na watu? Hao walomleta wakitaka kuwaingiza watu wao yeye ana ubavu wa kukataa? Baada ya kuondoka Dr. Bukuku mbona aliletwa mtu mwingine mtoto wa kigogo ambae hana uzoefu kabisa na utendaji wa BOT? Msidanganye watu nchi hii ina wenyewe na hao wenyewe ndio wanaowapa vyeo hao mnaowaita GAVANA!!!
 
Mkuu Bules Hv Dr.Bukuku Alisha Ondoka? Yupo Wapi Plz Njb Namtafta Sana Huyu Jamaa
 
ORODHA YA WATOTO WA VIGOGO WANAOFANYA KAZI BOT Filbert Sumaye, Beatrice
Bomani, Pamela Lowassa,
Zacharia Kawawa, Salama
Mwinyi, Salama Mahita, Rachel
Msekwa, Jane Sitta, Yasmine
Karume, Rabia Shein, Joshua Nchimbi, Gracia Mkapa, Jane
Diallo, Likel Ngasongwa, Andy
Magufuli, Thomas Mongela,
Jubilee Kigoda, Raymond Zanga,
Ismail Meghji, Morris Mramba
 
Hatuitaji reference za miaka miwili nyuma wakati hazina mashiko....kuna changes nyingi zimefanywa na BOT pale shule tu ndo inakufanya upate kazi....

kua uyaone kwa maelezo yako japo sikujibu nathubutu kuluita mdogo wangu .kifupi system ipo corrupt mlango wa mbele umefungwa mlango wa nyuma upo wazi umiza ndonga utoboe
 
Ikifika tarehe 31 January hujaitwa kwenye short list ya zile kazi za hawa mabwana nadhani its safe to assume kuwa hukufanikiwa.

PDB walishaanza kuita watu na kuwa interview since December. Hawa Deloitte wameamua kuita kimya kimya na kumalizana nao kimya kimya.

BOT Mpaka kufikia ijumaa ya January 31st watakuwa wametoa short list. Hawa hawatafanya kimya kimya watatangaza very soon.

Kama hujaitwa mpaka January 31 basi utakuwa hujafanikiwa


Tunashukuru sana kwa utabiri wako sisi wote tulioaply BoT Kwa maana hadi kufikia leo tarehe 5 february hatujaitwa tuamini kuwa hatujafanikiwa kama ulivyotabili shehe yaya. pia tunashukuru kwa udaku maana sometime unaleta pressure alafu unakatisha tamaa.

haya tunaomba ututhibitishie tarehe imekwisha pita je wenzetu wamekwisha itwa kwa usaili pale bot au bado na kama bado tuendelee kusubiri hadi lini au ndio serikali haina pesa? na je unapotuletea hizi taarifa ww ni kama nani hapo bot
 
PDB-Leo wametoa maelezo kwenye gazeti la The Guardian, kuna mtu amenipigia simu. Mwenye access wa gazeti hili wakubwa atupe walichoandika. me naweza kupata jioni nikitoka job. Ila inaonyesha, nafasi za Wakurugenzi na Meneja zimejazwa na sisi baado.
 
PDB-Leo wametoa maelezo kwenye gazeti la The Guardian, kuna mtu amenipigia simu. Mwenye access wa gazeti hili wakubwa atupe walichoandika. me naweza kupata jioni nikitoka job. Ila inaonyesha, nafasi za Wakurugenzi na Meneja zimejazwa na sisi baado.

Kulingana na habari niliyosoma kwenye gazeti la mwananchi ni kuwa wanaita kimya kimya hakuna short list itakayotangazwa magfazetini....wale shortlisted wote watapigiwa simu na kama wasipokupigia basi assume hukufanikiwa aisee
 
The guardian ya jana samahani kwa picha kukaa vbya
 

Attachments

  • 1392137707982.jpg
    1392137707982.jpg
    67.4 KB · Views: 445
Back
Top Bottom