Kenny Hill
Member
- Aug 26, 2013
- 65
- 61
Ikifika tarehe 31 January hujaitwa kwenye short list ya zile kazi za hawa mabwana nadhani its safe to assume kuwa hukufanikiwa.
PDB walishaanza kuita watu na kuwa interview since December. Hawa Deloitte wameamua kuita kimya kimya na kumalizana nao kimya kimya.
BOT Mpaka kufikia ijumaa ya January 31st watakuwa wametoa short list. Hawa hawatafanya kimya kimya watatangaza very soon.
Kama hujaitwa mpaka January 31 basi utakuwa hujafanikiwa
PDB walishaanza kuita watu na kuwa interview since December. Hawa Deloitte wameamua kuita kimya kimya na kumalizana nao kimya kimya.
BOT Mpaka kufikia ijumaa ya January 31st watakuwa wametoa short list. Hawa hawatafanya kimya kimya watatangaza very soon.
Kama hujaitwa mpaka January 31 basi utakuwa hujafanikiwa