TAMKO
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,090
- 763
Jana Jumatano, kulikuwa Na kikao kuanzaia saa Kumi alasiri hadi usiku sana kati ya wajumbe wanne vigogo wa CCM Ndani ya jengo hili la ofisi Za Mkoa Za CCM, Lumumba. Mbali Na mambo machache waliyozingumza Hoja kubwa iliyotawala Kwa Muda mrefu hadi Usiku sana ni Tishio la ujio wa Aliyekuwa Makam Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Juliana Shonza Ndani ya CCM.
Mjumbe aliyedadavua Hoja alisema Bidada huyo katumwa Na Chadema kukiangamiza Chama. Mjumbe alisema Kwa kujiamini Kwamba bidada huyo aliyelishwa yamini Na Chama alitumwa apenye Na Kuzitoa siri Za Chama. Msemaji alisema ile kukitukana CDM Kwa Hoja nyepesi ya kukopa fedha ni gia ili CCM IMWAMINI Na kumpatia nafasi nyeti kwa urahisi. Msemaji huyo alisema mishen yake inayofananishwa Na vita ya KIPPUR Kati ya mataifa ya Kiarabu juu ya Israel mwaka 1967 chini ya wenyekiti Wa Misri kipindi kile Anwar Sadat akiwa RAIS wa Misri ambapo mwanamke mmoja wa kiyahudi aliyekuwa ameolewa Na Mmisri ndiye aliyevujisha taarifa kwa jeshi la Israel iliyopelekea,Mataifa hayo yakapigwa mbaya hadi Leo Misri hathubutu kuzipanga Na Israel.
Msemaji aliendelea kudai Ndani ya CCM," Hata sisi wanne inawezekana CHADEMA Wakawa Na Mtu wao" (HAKUKOSEA).. Ndio Maana watu wa Chadema Ndani ya CCM wakampenyeza Bint yule Na kijana Yule hadi Mbele ya RAIS Na kupata nae wasaa ili CCM wengine tumwamini kirahisi kitu ambacho hadi Leo RAIS anahoji nani aliyewasogeza vijana wale hadi karibu nae?
Mjumbe akaendelea kuweka wazi Yule mvulana(akimanisha mwampamba) ni Zuzu Yeye hajui lolote, alifukuzwa Kama ushahidi tu ila inshu yote anayo Bint. Akasema ili kugundua anachosema watazame vikao vyao, Mara zote Bint ataalikwa Na atatoa maneno ya Vitisho kwamba anaijua CDM Na CCM ili apate uungwaji kirahisi..
Wajumbe walichangia Kwa jazba Na ukali Na kikao hakikuisha vizuri kwama kilivyoanza. Wajumbe wengi walionekana kukereka Na jinsi RAIS alivyokubali kuwa nao karibu kwamba wao miaka yote hawajawaji Hata kumsalimia. Wajumbe walionyesha ghadhabu Na wivu binafsi Na kuacha kuchangia hoja hiyo hadi kikao kilipovunjika kila mmoja akiondoka akisonya..
Mjumbe aliyedadavua Hoja alisema Bidada huyo katumwa Na Chadema kukiangamiza Chama. Mjumbe alisema Kwa kujiamini Kwamba bidada huyo aliyelishwa yamini Na Chama alitumwa apenye Na Kuzitoa siri Za Chama. Msemaji alisema ile kukitukana CDM Kwa Hoja nyepesi ya kukopa fedha ni gia ili CCM IMWAMINI Na kumpatia nafasi nyeti kwa urahisi. Msemaji huyo alisema mishen yake inayofananishwa Na vita ya KIPPUR Kati ya mataifa ya Kiarabu juu ya Israel mwaka 1967 chini ya wenyekiti Wa Misri kipindi kile Anwar Sadat akiwa RAIS wa Misri ambapo mwanamke mmoja wa kiyahudi aliyekuwa ameolewa Na Mmisri ndiye aliyevujisha taarifa kwa jeshi la Israel iliyopelekea,Mataifa hayo yakapigwa mbaya hadi Leo Misri hathubutu kuzipanga Na Israel.
Msemaji aliendelea kudai Ndani ya CCM," Hata sisi wanne inawezekana CHADEMA Wakawa Na Mtu wao" (HAKUKOSEA).. Ndio Maana watu wa Chadema Ndani ya CCM wakampenyeza Bint yule Na kijana Yule hadi Mbele ya RAIS Na kupata nae wasaa ili CCM wengine tumwamini kirahisi kitu ambacho hadi Leo RAIS anahoji nani aliyewasogeza vijana wale hadi karibu nae?
Mjumbe akaendelea kuweka wazi Yule mvulana(akimanisha mwampamba) ni Zuzu Yeye hajui lolote, alifukuzwa Kama ushahidi tu ila inshu yote anayo Bint. Akasema ili kugundua anachosema watazame vikao vyao, Mara zote Bint ataalikwa Na atatoa maneno ya Vitisho kwamba anaijua CDM Na CCM ili apate uungwaji kirahisi..
Wajumbe walichangia Kwa jazba Na ukali Na kikao hakikuisha vizuri kwama kilivyoanza. Wajumbe wengi walionekana kukereka Na jinsi RAIS alivyokubali kuwa nao karibu kwamba wao miaka yote hawajawaji Hata kumsalimia. Wajumbe walionyesha ghadhabu Na wivu binafsi Na kuacha kuchangia hoja hiyo hadi kikao kilipovunjika kila mmoja akiondoka akisonya..