Shoga anataka kuniharibia ndoa msaada wenu jamani

Shoga anataka kuniharibia ndoa msaada wenu jamani

Mwanzoni sikujua kama huyu jamaa anatabia ya ushoga nilipojaribu kumchunguza vizuri nikagundua jamaa si riziki.

Alianza kunitumia sms za mapenzi huku akinitakia magudinight kila siku
Nimejaribu kumkanya ila naona hasikii hadi wife ameshtukia nakuanza kugomba.

Ameniambia hata nifanye nini lazima nimlale mimi huo mchezo si uwezi kabisa


Msaada please nimuepuke huyu jamaa

Kata mawasiliano yote kama kweli una nia hiyo. Vinginevyo na wewe sitaki nataka. Na hayo maamuzi yote unayo ila nashangaa na hili pia walileta jamvini.
 
Jamani, sijui mimi ni mshamba!
Hivi mtu unajisikiaje hiyo pen.s yako kuchovya kwenye ma.i?
Nilivyo na kinyaa hata nikiny sitaki kutawaza na mikono.
Sasa inakuwaje jamani? Mmmh

unajua ata nikueleze vipi hutaelewa bcoz it involves emotions kaka ni sawa mie nikuulize wewe eti kwa nini unapenda embe
 
Duh mpwa jambo dogo km hili linakupa headache au umeshawishika unashindwa kumkwepa ss shemeji mbn kazi anayo maana ndoa mitahani ndo parking yake.
 
unajua ata nikueleze vipi hutaelewa bcoz it involves emotions kaka ni sawa mie nikuulize wewe eti kwa nini unapenda embe

Loooooooooooooolll! hahahahahahahahahaha! Hadi nimeumwa! Nahisi ntacheka mwezi wote huu! mzabmzab wewe noma!
Embu ajaribu kueleza kwanini anapenda embe!
Hahahahahaha! Ah JF for life!
 

hahahaaaa!!chezea machoko wewe
na akimjua mkeo anaweza kukuharibia
wana hila hao wanyama we acha tu!!
 
Not the evil things.... vitabu vitakatifu vinaliongeleaje hilo?

well am very cognizant of that fact....but wat i despise is wen people start rumbling about morals when it comes to homosexuality and anal sex but turn a blind eye to premarital sex, blowjobs. kama u vehemntly against those and u are a virgin then i shall heed ur words but otherwise u are nothing more than a hypocrit
 
Back
Top Bottom