Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
wee mgegede huyo jamaa bwana
Mmmh!!!
wee mgegede huyo jamaa bwana
asante....ila mie napenda tigo jamani
Mwanzoni sikujua kama huyu jamaa anatabia ya ushoga nilipojaribu kumchunguza vizuri nikagundua jamaa si riziki.
Alianza kunitumia sms za mapenzi huku akinitakia magudinight kila siku
Nimejaribu kumkanya ila naona hasikii hadi wife ameshtukia nakuanza kugomba.
Ameniambia hata nifanye nini lazima nimlale mimi huo mchezo si uwezi kabisa
Msaada please nimuepuke huyu jamaa
wee mgegede huyo jamaa bwana
namshukuru Muumba.... Mkoa wangu hauna hawa viumbe!
Wakionekana tunawateketeza!
Mwanzoni sikujua kama huyu jamaa anatabia ya ushoga nilipojaribu kumchunguza vizuri nikagundua jamaa si riziki.
Alianza kunitumia sms za mapenzi huku akinitakia magudinight kila siku
Nimejaribu kumkanya ila naona hasikii hadi wife ameshtukia nakuanza kugomba.
Ameniambia hata nifanye nini lazima nimlale mimi huo mchezo si uwezi kabisa
Msaada please nimuepuke huyu jamaa
Ulitokana wapi na huyo shoga mpaka akuzoee kiasi hicho. Inaelekea unapenda kamchezo hako huku jf unatufanyia usanii.
wewe umeoa kwa hiyar au wamekuolea wazazi......una mke unaempenda na umetolea mali bado unakuwa na network na mashoga.....naona bado hujajitambua ndugu yangu...!! kwa thread yako ni wazi mnajuana vizuri na huyo shoga, na kujuana kwenyewe sio tu kwa macho..bali ulishamuonja..it can't b easy....au kama unaleta hadithi ya kufikirika....habari za mashoga huwa hazina mamvuto kuzijadili kabisa so unapoleta thread lete yenye kutufanya lazima tuijadili....wengi wameamua tu kukushauri hapa japo wanaona wewe ni kama msanii katika hoja hii.....!! hivi kuna jambo rahisi kuliko kubadilisha namba ya simu? lakini pia hata zije meseji milion kila siku....lazima hujibu? atachoka tu..na hawezi kufika mwaka anakutumia meseji kwa mtu ambae arespond......nakuomba jitambue ndugu yangu hakuna jambo linalotia kinyaa kama uwekwe kikao na nduguzo, wekwe wazazi eti mkeo kakushtaki una mawasiliano na shoga?? hata ndoa ivunjike lakini fedhea utabaki nayo milele.........!!!!!refer kesi moja cameroon mtu kamtumia txt mwanaume mwenzake kuwa "I'm in love with you" basi kaenda jela miaka 3....wewe una haki kisheria...hata ya kufungua kesi.....ukiwa na rafiki shoga na wewe ni shoga tu.....we ndio shoga yake hapo...."alike birds flying together"
mkoa gani huo?namshukuru Muumba.... Mkoa wangu hauna hawa viumbe!
Wakionekana tunawateketeza!
Hadi umefikia hatua ya kuoa hujajua namna ya kutatua tatizo hili kama ni la kweli?
Ningekuwa namfahamu huyo mkeo ningemuambia unafanyaga huu mchezo
Kama kweli ungekuwa hupendi ungekuwa umeshapata dawa yake!!
Hadi umefikia hatua ya kuoa hujajua namna ya kutatua tatizo hili kama ni la kweli?
Ningekuwa namfahamu huyo mkeo ningemuambia unafanyaga huu mchezo
Kama kweli ungekuwa hupendi ungekuwa umeshapata dawa yake!!