Shoga anataka kuniharibia ndoa msaada wenu jamani

Shoga anataka kuniharibia ndoa msaada wenu jamani

mzabzab!!!!!!!!!!am shocked :shock:and embarassed :embarrassed1: thinking of you and things you enjoy a lot!!!!!!!!!!hope one day you will realize what you are doing is not good and you will stop it,think of your creator aliyekuleta hapa duniani anaonaje na kuhusi vipi kuunga mkono mambo ambayo hakuyaumba?mambo ambayo shetani :shetani:anayapenda na kuwachochea watu wayafanye?kwenda kinyume na makusudio yake?its now time for you to change mzabzab badilika when its not too late mzabzab utakuja lia :A S cry:na kujuta sana when its too late usifanye :nono:majuto yawe part of your life ,usifanye ninge ije ikukute when its too late,always remember tamaa mbele mauti nyuma :rip: :hatari: :rip: .Please now mzabzab badilika think of wakati wako ujao coz unapaswa kukumbuka siku hazigandi kuna siku utazeeka sijui utabaki na kumbukumbu gani au ungeependa ujulikane kwa mambo yapi?change mzabzab u can manage to................................
ndiooooooooooooooooo....watamu hao
 
Last edited by a moderator:
asante....ila mie napenda tigo jamani

If you are one of believers, the holy scriptures tell us about the people of Sodom, do you know why the almighty cursed and destroyed them? look for the answer and I believe that the almighty will guide you on his righteous path

Good day
 
well am very cognizant of
that fact....but wat i despise is wen people start rumbling about morals
when it comes to homosexuality and anal sex but turn a blind eye to
premarital sex, blowjobs. kama u vehemntly against those and u are a
virgin then i shall heed ur words but otherwise u are nothing more than a
hypocrit


Kila la kheri mzabzab
 
Mwanzoni sikujua kama huyu jamaa anatabia ya ushoga nilipojaribu kumchunguza vizuri nikagundua jamaa si riziki.

Alianza kunitumia sms za mapenzi huku akinitakia magudinight kila siku
Nimejaribu kumkanya ila naona hasikii hadi wife ameshtukia nakuanza kugomba.

Ameniambia hata nifanye nini lazima nimlale mimi huo mchezo si uwezi kabisa


Msaada please nimuepuke huyu jamaa

UPDATES:
1.Nimemueleza wife tayari ingawa ilikuwa ngumu kunielewa

2. Nimewachukuwa washikaji zangu tukamtimbia tukamuweka kati nakumpa makaripio ya kufa mtu na askari pembeni wale watesaji kama mnawajua

3. Kaomba msamaha hatarudia tena

Thanks kwa ushauri wenu


Acha roho mbaya unapo pendwa , usimuuize mtu roho wakati hana jinsi, mueleweshe kwamba haupendi mambo hayo kwa kumuonyesha unamjali na hapo atakuelewa na kukuacha, ila tabu sana kukataliwa unapo penda.
 
umesema mchezo huo kuuwezi so ungekuwa un uweza usingekuja kuomba ushauri hapa anyway hongera zako kwa kulipatia ufumbuzi
 
Back
Top Bottom