Ewe Mwenyezi Mungu, Mungu wa Abraham, Yakobo, Musa, Maria (Muumba wa Mbingu na Ardhi na vyote vilivyomo)
Tunaomba utusamehe na utuepushe na ufedhuli huu unaotaka kuhalalishwa kwa nguvu za Jeshi la Shetani (wafuasi), Ee bwana tazama wamesha halalisha mambo kama haya huko Afrika Kusini, Uganda na sasa wanakuja Tanzania.