Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu fafanua mkuu. labda umeudhika tukutake radhi. asanteInalillah wainaillah RAJIUUN
Ewe Mwenyezi Mungu, Mungu wa Abraham, Yakobo, Musa, Maria (Muumba wa Mbingu na Ardhi na vyote vilivyomo)
Tunaomba utusamehe na utuepushe na ufedhuli huu unaotaka kuhalalishwa kwa nguvu za Jeshi la Shetani (wafuasi), Ee bwana tazama wamesha halalisha mambo kama haya huko Afrika Kusini, Uganda na sasa wanakuja Tanzania.
kweli tumefikia zile siku zilizo nenwa za mwisho. Yaani ushenzi huu uliotokea ulaya na marekani wanataka uhalalishwe tanzania?. Mungu tunusuru na upuuzi huu watanzania tusikubali ushoga kwenye nchi yetu hata kwa gharama yeyote tukatae..... Mungu ibariki tanzania.....tuepushe na ushenzi huu.... Amina
wewe kaka abduel, nenda nchi zinazokubali upumbavu huu sisi hatukubali ushenzi huu uingizwe kwenye katiba ya nchi takatifu kama tanzania
offcourse sisi ndio kina anti athumani,anti Musa .anti abduli na dini yetu inaruhusu haya mambo ..ukienda kwetu mombasa haya mambo utayakuta sana utatukuta tupo misikitini au kwenya saluni
hivi kwanini mashoga wengi ni wa MAJINA hayo then wanaishi magomeni..!?