Shoga (Abdul) aiomba serikali iwakumbuke kwenye mchakato wa katiba

Makundi yanayo hitaji kusikizwa na kupangiwa mambo ni kama WASIOJIWEZA, WAJANE, WATOTO YATIMA na wengine,, sio mashoga!!!, Hao Mashoga hawaezi kufanya kazi..ama kama kazi ni hio pia ni sawa.. hawa si watu wakusikizwa!!!!
 
hivi kwanini mashoga wengi ni wa MAJINA hayo then wanaishi magomeni..!?
 
Ewe Mwenyezi Mungu, Mungu wa Abraham, Yakobo, Musa, Maria (Muumba wa Mbingu na Ardhi na vyote vilivyomo)
Tunaomba utusamehe na utuepushe na ufedhuli huu unaotaka kuhalalishwa kwa nguvu za Jeshi la Shetani (wafuasi), Ee bwana tazama wamesha halalisha mambo kama haya huko Afrika Kusini, Uganda na sasa wanakuja Tanzania.

ameen washindwe na walegee sana
 
kweli tumefikia zile siku zilizo nenwa za mwisho. Yaani ushenzi huu uliotokea ulaya na marekani wanataka uhalalishwe tanzania?. Mungu tunusuru na upuuzi huu watanzania tusikubali ushoga kwenye nchi yetu hata kwa gharama yeyote tukatae..... Mungu ibariki tanzania.....tuepushe na ushenzi huu.... Amina
wewe kaka abduel, nenda nchi zinazokubali upumbavu huu sisi hatukubali ushenzi huu uingizwe kwenye katiba ya nchi takatifu kama tanzania

amina.
 
TGNP sasa wameamua kula pesa za wazungu kwa kupitia mgongo wa kutetes mashoga!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom