Shkamoo makeup!

Shkamoo makeup!

Ninachoweza kusema hapa ni kuwa WITH/WITHOUT MAKE UP huyo binti ni mzuri, sitajutia mahari yangu akiondoa make up!
Mkuu mbona siku hizi unacomment kwa machale,mara chache sana na kwa uangalifu mkubwa sana hapa JF?? .......kuna siri gani nyuma ya pazia?? .....unataka kuniambia ya kwamba mtu kuwa na mahusiano hapa JF ni utumwa wa kimyakimya? 🙂
 
Mkuu mbona siku hizi unacomment kwa machale,mara chache sana na kwa uangalifu mkubwa sana hapa JF?? .......kuna siri gani nyuma ya pazia?? .....unataka kuniambia ya kwamba kuwa na mahusiano hapa JF ni utumwa wa kimyakimya? 🙂
Mkuu jadili mada iliopo.
 
Ndio maana sipendi make-up.
Napenda kuwa kama nilivyo,labda ktk special events tu tena usiku na ni mara chache.
Make-up ni utumwa,ukijizoesha unakosa kujiamini.
Ndio maana nakukubali binamu yangu
 
Kama photoshop haijahusika basi hao ni kulwa na doto,
Mmoja anakaa kijijini chato mwingine ni daisalam, angalia pua zao.
Du una macho make up za ajabu zinabadili hata baadhi ya viungo.Hao ni watu wawili tofauti ushahidi ni pua kama mdau ulivyong'amua.
 
Ndo maana ikaitwa make up inakufanya kuwa mzuri ila usipopaka inaitwa make down!!!
 
Mhhh... Balaa hakika. Kumbe make up ndio kazi yake hii.. OOOOH.
 
Kama photoshop haijahusika basi hao ni kulwa na doto,
Mmoja anakaa kijijini chato mwingine ni daisalam, angalia pua zao.
Dodge & Burn In Photoshop
 
Kama photoshop haijahusika basi hao ni kulwa na doto,
Mmoja anakaa kijijini chato mwingine ni daisalam, angalia pua zao.

Inaitwa contour unachonga pua Na cheek bones kwa kutumia foundation au concealer 1 or 2 shades darker than your skin tone
 
Back
Top Bottom