Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Mkuu mbona siku hizi unacomment kwa machale,mara chache sana na kwa uangalifu mkubwa sana hapa JF??Ninachoweza kusema hapa ni kuwa WITH/WITHOUT MAKE UP huyo binti ni mzuri, sitajutia mahari yangu akiondoa make up!
.......kuna siri gani nyuma ya pazia??
.....unataka kuniambia ya kwamba mtu kuwa na mahusiano hapa JF ni utumwa wa kimyakimya? 🙂

