Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,254
Mkuu ni kwa kuwa una uzuri wa asili. Kama una mabaka ya chunusi, pengine na mba au mbalanga na ukasubiri mpaka yapone yenyewe si utapitwa na mengi.Ndio maana sipendi make-up.
Napenda kuwa kama nilivyo,labda ktk special events tu tena usiku na ni mara chache.
Make-up ni utumwa,ukijizoesha unakosa kujiamini.
Sipendi kufake,kwanini niishi ktk uongo?Akinipenda anipende kama nilivyo,hawezi kheri pia.Mkuu ni kwa kuwa una uzuri wa asili. Kama una mabaka ya chunusi, pengine na mba au mbalanga na ukasubiri mpaka yapone yenyewe si utapitwa na mengi.
Jipodoe ufungue milango. Atakaekupenda, kabla hajalipa ng'ombe unamueleza ukweli - lakini wakati huo amekujua tabia na ukarimu wako tayari.
Huo ni uhuru wa hali ya juu sana kwa jinsia zote mbili. Hongera bibie.Sipendi kufake,kwanini niishi ktk uongo?Akinipenda anipende kama nilivyo,hawezi kheri pia.
Ndio maana sipendi make-up.
Napenda kuwa kama nilivyo,labda ktk special events tu tena usiku na ni mara chache.
Make-up ni utumwa,ukijizoesha unakosa kujiamini.
raha sana kuwa asiili
Laiti kama wanawake / ma binti wote wangekua na mawazo kama yako!Ndio maana sipendi make-up.
Napenda kuwa kama nilivyo,labda ktk special events tu tena usiku na ni mara chache.
Make-up ni utumwa,ukijizoesha unakosa kujiamini.
True, you can wear a bit at occasions but certainly not everydayNdio maana sipendi make-up.
Napenda kuwa kama nilivyo,labda ktk special events tu tena usiku na ni mara chache.
Make-up ni utumwa,ukijizoesha unakosa kujiamini.
Madhara yapo tena mengi tu.True, you can wear a bit at occasions but certainly not everyday
Ila hizi vitu hazinaga madhara kwenye ngozi kweli?
Ninachoweza kusema hapa ni kuwa WITH/WITHOUT MAKE UP huyo binti ni mzuri, sitajutia mahari yangu akiondoa make up!
same person with/without make up.Kama photoshop haijahusika basi hao ni kulwa na doto,
Mmoja anakaa kijijini chato mwingine ni daisalam, angalia pua zao.