Shirika la Qatar Airways kuhifadhi ndege zake nchini Uhispania

Shirika la Qatar Airways kuhifadhi ndege zake nchini Uhispania

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
780
Reaction score
1,831
Shirika la ndege la Qatar Airways limehamisha ndege zaidi ya 20 kuelekea katika uwanja wa ndege wa Teruel nchini Hispania mashariki kwa ajili ya kuhifadhi.

Hatua hiyo inatokana na kuongezeka kwa mivutano ya kikanda inayohusisha Irani ambayo imeweka kwenye hatari anga ya Mashariki ya Kati na kufanya shirika la ndege kufanya kazi kwa ratiba iliyopunguzwa.

Ndege hizo zilizohifadhiwa ni pamoja na Airbus A380 Superjumbo, Airbus A350, Airbus A330, na Boeing 787 Dreamliner. Ndege hizo zilihamishwa hadi uwanja wa ndege wa mji wa Teruel ambao una uwezo wa kuhifadhi hadi ndege 120 na hali ya hewa kavu ambayo inaruhusu uhifadhi wa ndege wa muda mrefu.

Sababu za uhifadhi huo ni kulinda mali zenye thamani, kudhibiti gharama, na kupunguza shughuli za uendeshaji.
Qatar Airways imepunguza idadi ya safari za ndege kutoka Doha kutoka takriban safari 135 kwa siku hadi safari 40 kwa wiki.
Uhamisho huo unaonyesha athari za mivutano ya kikanda kwenye sekta ya usafiri wa anga na hatua zinazochukuliwa na mashirika ya ndege kulinda mali zao.
Chanzo Na : Aviation media
 
Hii inatuonyesha huu mgogoro sio wa pole pole ni kati ya kitu kizito sana kimeupiga ulimwengu na lazima tutatikisika sana hasa sisi Nchi zisizo na mipangilio madhubuti ktk uchumi wetu kwenye matumizi makubwa. Uchumi wa Dunia lazima utikisike hasa vita hii ikienda kwa muda mrefu itakuwa jambo la hatari sana.
 
So ulinzi wa USA kumbe ni utapeli it was a scumm Aisee USA kawatapeli Mataifa mengi sana 🤣🤣🤣

So baada ya hii vita kuisha huko middle east still wataendelea kumpa USA tenda ya kuwalinda !?

🤣 Iran kaja kufunua mambo mengi sana tuliyofichwa
 
So ulinzi wa USA kumbe ni utapeli it was a scumm Aisee USA kawatapeli Mataifa mengi sana 🤣🤣🤣

So baada ya hii vita kuisha huko middle east still wataendelea kumpa USA tenda ya kuwalinda !?

🤣 Iran kaja kufunua mambo mengi sana tuliyofichwa
Nafikiri kuna mikataba waliingia na huyo USA sasa kuitoka sidhani kama ni rahisi maana haw wakubwa wana mambo yao wanayajua wana gawana wanavyo jua wenyewe sisi tunabakia kukisia tu.
 
So waendelee tu kukubali kulindwa na USA licha ya kuwa mifumo yake ya ulinzi ni collapse!?
Shida ni sisi tunaona hivyo je hao wakubwa wanaona haifai? Tuombe Mungu vita iishe mkuu haya mengine yapo nnje ya uwezo wetu hasa ya makubaliano yao binafsi.
 
March 2026
Qatar Airways ha trasladado más de 20 aviones al aeropuerto de Teruel, en el este de España, para su almacenamiento.

View: https://m.youtube.com/watch?v=KW2hJAdEhu4
Source : APT

Toka Maktaba : 2024
What is happening inside Europe’s largest aircraft storage site? I visited Teruel, Spain to find out more from Tarmac Aerosave.

View: https://m.youtube.com/watch?v=Z8_GWXOl22c
During the peak of the Pandemic, there were about over 150 widebodies stored in Teruel making it the largest aircraft storage site in Europe. Most of them are A340, A380, Boeing 747 and B777 wide-body aircraft.As travel demand returned, there was a shortage of airplane flying.

More and more airplanes are leaving the storage and flying back in the sky for a second life! Staff from Tarmac Aerosave showed me how to re-activate an Airbus A380.

After completing 5,000 hours of check and maintenance, the Etihad Airways A380 is ready to leave storage and return to service.

Next, I visited an A330 with components and parts removed from the airplane. The airplane is being recycled. The Tarmac team showed me how they remove parts and document it before sending it to the owner. Up to 94% of the airplane can be recycled within 12 weeks. It is interesting to see an array of activities in Europe’s biggest aircraft storage site.
Source : Sam Chui


View: https://m.youtube.com/watch?v=6JjA9c2xKgY
 
Shirika la ndege la Qatar Airways limehamisha ndege zaidi ya 20 kuelekea katika uwanja wa ndege wa Teruel nchini Hispania mashariki kwa ajili ya kuhifadhi.

Hatua hiyo inatokana na kuongezeka kwa mivutano ya kikanda inayohusisha Irani ambayo imeweka kwenye hatari anga ya Mashariki ya Kati na kufanya shirika la ndege kufanya kazi kwa ratiba iliyopunguzwa.

Ndege hizo zilizohifadhiwa ni pamoja na Airbus A380 Superjumbo, Airbus A350, Airbus A330, na Boeing 787 Dreamliner. Ndege hizo zilihamishwa hadi uwanja wa ndege wa mji wa Teruel ambao una uwezo wa kuhifadhi hadi ndege 120 na hali ya hewa kavu ambayo inaruhusu uhifadhi wa ndege wa muda mrefu.

Sababu za uhifadhi huo ni kulinda mali zenye thamani, kudhibiti gharama, na kupunguza shughuli za uendeshaji.
Qatar Airways imepunguza idadi ya safari za ndege kutoka Doha kutoka takriban safari 135 kwa siku hadi safari 40 kwa wiki.
Uhamisho huo unaonyesha athari za mivutano ya kikanda kwenye sekta ya usafiri wa anga na hatua zinazochukuliwa na mashirika ya ndege kulinda mali zao.
Chanzo Na : Aviation media
Bado hadi wajue kuwa Netanyau na Trump ndio magaidi wakuu.
 
So ulinzi wa USA kumbe ni utapeli it was a scumm Aisee USA kawatapeli Mataifa mengi sana 🤣🤣🤣

So baada ya hii vita kuisha huko middle east still wataendelea kumpa USA tenda ya kuwalinda !?

🤣 Iran kaja kufunua mambo mengi sana tuliyofichwa
Iran Wana akili sana,walianza kwanza kupiga bezi zote za USA KWENY IZO Nchi za Gulf! na kupiga pia kwenye Kila maslai ya america yalipo kwenye izo Nchi!
kwaiyo now Qatar na Nchi zingine zinaona tamu na chungu ya kuwakumbatia magaidi kina Trump na Netanyau...
 
Back
Top Bottom