Hahaa hahahaha Jiwe wapi
SWISSME
Kwenye kampeni ATCL itakuwa ni msaada mkubwa kwetu wapinzani kwi! Kwi!
Mashirika ya ndege yanayofilisika yapo mengi sana, tena mengi yake yapo Ulaya na Marekani kwenye wasafiri wengi wanaotumia ndege.
Ukiachilia umasikini,elimu na magonjwa adui mwingine wa tanzania ni chadema na nyumbu wake.
Chadema imeingiaje hapa?!
Kwa nini CHADEMA ni adui wa Tanzania?
Kwenye wasafiri wengi wanaotumia ndege na pia ujuzi wa kiundeshaji, na access ya mitaji na wawekezaji na wataalam wa kiufundi na kiiiila kitu, na bado wanakula hasara kwa sababu ya ugumu wa biashara hii.
Hapa kwetu wataficha kwamba tunakula hasara, na watamwaga hela kuziba mapengo, cash injection, kama ambavyo juzi wame pampu bilioni 600 zikatengeneze ndege ambazo kumbe hazina warranty. Mkataba mbovu!
Mada zako nyingi zinauwalakin samahan kwa kuusema ukweli huu, angalia aina ya presentation yako, mara uweke vituko mara uweke mbwembwe,
Jaribu kuwa unaleta hoja ili hata Lumumba waamini kwamba wamepoteza kweli mtetezi mtandaoni,
Nchi inaendelea, inamiliki madilimu laina, halafu mnabeza!
Kwasababu ndo waliomshauri rais anunue ndege mbovu
Ujinga ni kuzungumzia jambo lenye maana nyingine ukimaanisha kitu kingine.
Ndege kusukumwa unaona jambo la ajabu sana? Unaona kama ndege ni mbovu? Unaona kama ATCL imefirisika?
Kwanini tunaomba mabaya kwa mambo yahusuyo nchi? Eti unaomba shirika la ATL lifirisike? Sasa utapata faida gani?
Bora liendelee kuwepo maana kuna watanzania wamepata ajira pale either direct au indirect.
Hao wanasiasa wenyewe wanapanda ndege hizo hizo lakini bado wanaponda.
Pamoja na ndege hizo kutokua na nauli ya mtanzania wa kawaida kama mimi bado siwezi kuziombea mabaya, acha ziwepo zifanye kazi wenye uwezo watapanda nami siku nikipata hela nitapanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau CCM!!Ukiachilia umasikini,elimu na magonjwa adui mwingine wa tanzania ni chadema na nyumbu wake.
Nadhani wewe utakuwa mchawi sana tena sana.
Labda kujipanga kwenye foleni ya kuingia kwa mchina kutazama simba na lipuliUshindani mkubwa. Kuna njia za kuepuka, sema nyie msiojua mnapaniki kweli kweli, ila Tz tumejipanga sana
Limekutia hasara ipi?
AiseeDuuu chadema wana fitina sana
In God we Trust