Shipa

Philipo Kidwanga

JF-Expert Member
Jul 12, 2012
2,042
599
Eti inasemekana kuna mtu kwenye ajali ya juzi ameokolewa na busha lake.alipoanguka kwenye maji tu likaelea kama boya na kumwezesha kuogelea kwani lilimsaidia asizame itabidi na mimi nifuge busha na likikomaa zanzibar kila siku tena ntapanda zile meli mbovumbovu na zilizojaa sana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom