Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
Eti inasemekana kuna mtu kwenye ajali ya juzi ameokolewa na busha lake.alipoanguka kwenye maji tu likaelea kama boya na kumwezesha kuogelea kwani lilimsaidia asizame itabidi na mimi nifuge busha na likikomaa zanzibar kila siku tena ntapanda zile meli mbovumbovu na zilizojaa sana.