Shinyanga: Wananchi manispaa ya mkoa wa Shinyanga wamesema hawana mbunge kwani Barabara kuelekea hospitali ya rufaa imejaa mashimo

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Wakazi wa mkoa wa Shinyanga wametoa kauli yao kwamba pamoja na majukumu aliyonayo ya serikali Naibu waziri bwana patrobas katambi hakuna anachofanya kwani ameshindwa hata kuomba fedha serikalini kwa ajiri ya kujenga Barabara iliyojaa mashimo kwenda hospitali ya rufaa.

Baadhi yao wamesema kwamba kama mgonjwa yupo mahututi huenda mauti ya kamkuta kabla hajafika hospitali kutokana na mashimo yalijaaa Barabara hiyo.

Vijana kwa wazee wamejiapiza kufanya mabadiliko 2025. Mbunge huyo wanamtakia Kila la heri kwa kazi nyingine tofauti na ubunge wa jimbo Mwaka 2025.
 
Wakazi wa mkoa wa shinyanga wametoa kauli yao kwamba pamoja na majukumu aliyonayo ya serikali Naibu waziri bwana patrobas katambi hakuna anachofanya kwani ameshindwa hata kuomba fedha serikalini kwa ajiri ya kujenga Barabara iliyojaa mashimo kwenda hospitali ya rufaa.

Baadhi yao wamesema kwamba kama mgonjwa yupo mahututi huenda mauti ya kamkuta kabla hajafika hospitali kutokana na mashimo yalijaaa Barabara hiyo.

Vijana kwa wazee wamejiapiza kufanya mabadiliko 2025. Mbunge huyo wanamtakia Kila la heri kwa kazi nyingine tofauti na ubunge wa jimbo Mwaka 2025.


Wabunge hawaleti barabara na hawana budget. Tatizo ni serikali na sheria za kukusanya kodi. Hivyo badala ya kumsema mbunge piganieni katiba nzuri ili mapato yenu ya kodi za madini yatumike kuwajengea barabara na sio kuajiri wakwe.
 
Wabunge hawaleti barabara na hawana budget. Tatizo ni serikali na sheria za kukusanya kodi. Hivyo badala ya kumsema mbunge piganieni katiba nzuri ili mapato yenu ya kodi za madini yatumike kuwajengea barabara na sio kuajiri wakwe.

Kazi ya mbunge ni nini kwa mujibu wa kichwa chako?
 
Wakazi wa mkoa wa Shinyanga wametoa kauli yao kwamba pamoja na majukumu aliyonayo ya serikali Naibu waziri bwana patrobas katambi hakuna anachofanya kwani ameshindwa hata kuomba fedha serikalini kwa ajiri ya kujenga Barabara iliyojaa mashimo kwenda hospitali ya rufaa.

Baadhi yao wamesema kwamba kama mgonjwa yupo mahututi huenda mauti ya kamkuta kabla hajafika hospitali kutokana na mashimo yalijaaa Barabara hiyo.

Vijana kwa wazee wamejiapiza kufanya mabadiliko 2025. Mbunge huyo wanamtakia Kila la heri kwa kazi nyingine tofauti na ubunge wa jimbo Mwaka 2025.
Hiyo hospital ya rufaa kajenga yeye, mkimchagua tena atajenga na barabara, hao wazee waulize tangu uhuru walishaona wapi hospital mpya kama sio kwa mama samia
 
Back
Top Bottom