Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Hahahaaaa. Eti jamaani mi mwenyewe nimeshangaa sana.Unaua mtu kisa dudu
Ila ndio hivyo hasira zinatofautiana
Hahahaaaa. Eti jamaani mi mwenyewe nimeshangaa sana.Unaua mtu kisa dudu
ameshindwa kuzuia hasira zakeKwakwel.. But mapenz hayaui ila watu ndo wanaua kisa mapenz
True kabisaUkisikia wivu wa kijinga ndio huu sasa.
Hawakukosea walio sema tujifunze kudhibiti hasira zetu.
View attachment 593098
Tukio hilo limetokea jana majira ya saa 2;30 usiku wakati mwanamke huyo akiwa na mumewake nyumbani kwao, gafla simu ya mwanaume iliita ndipo mkewe akaichukua na kupokea,... akasikia sauti ya Mwanamke, na kupeleka hisia huenda ni mume wake anamsaliti, ndipo ugomvi ukazuka hadi kusababisha mauaji.
Akitoa taarifa ya tukio hilo Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga Simoni Haule, alisema baada ya ugomvi huo kuzuka ndipo mwanamke alipochukua kitu chenye ncha kali, na kumchinja shingo mume wake na kusababisha mauaji papo hapo, ambapo mwili wake umehifadhiwa kwenye hospitali ya mkoa huo.
“Chanzo cha tukio hili ni wivu wa kimapenzi ambapo mwanamke mara baada ya kuita simu ya mumewe aliikimbilia kuipokea, na aliposikia sauti ya mwanamke tayari akajua ni hawala wa mmewake, ndipo wakaanza kupigana hadi kusababisha mauaji,”alisema Haule
Hata hivyo Kamanda Haule alisema Jeshi hilo linamshikilia mwanamke huyo kwa mahojiano zaidi, na uchungunzi ukikamilika atafikishwa mahakamani kujibu shitaka la mauaji linalo mkabili, iliapate kuchukuliwa hatua kali zaidi za kisheria.
CHANZO: Nipashe
Unajuaje kama aliyepiga alikuwa mchepuko?so sad RIP,
kanipa funzo ni mwendo wa kublock michepuko yote nikiwa home...!!
premium Ya bima atalipwa nani?Mapenzi kwa kweli yanapaswa kuingizwa kati ya vitu vinavyohatarisha uhai wa binadamu
Ikiwezekana kuwe na bima ya mapenzi.
Ndugu wa yule atakayepata madhira ya kimapenzi.p
premium Ya bima atalipwa nani?
useless, unaweza kukutana "the fugitive " ndo analipwa"Ndugu wa yule atakayepata madhira ya kimapenzi.
Shetani ndo nani? Uliwahi mwona wapi? Acheni kumaingiziamambo mengine si ya kawaid kabisa shetani anafanya kazi kupitia watu.. tuombe bila kukoma.. RIP
Hii nayo imenishangaza, mwanamke apitishe kisu kwenye koromeo langu tens tukiwa katika mapambano, huu uzembe wa mwanamme, labda kama alikuwa amelala