Mkuu wewe wa vimbaumbau eh?hujakutana na mshine jike zilizoshiba eh? Kuna mijike zaidi ya ngumi ya kichwa au ndosi moja maridhawa huna cha kumfanya sijui ulete mieleka mieleka au kukabanakabana atakutoa nnya hivi hivi unajiona kilo mia plus za kimazoezi zikukalie halafu zimeshika kisu ukitilia maanani una mfadhaiko wa kufumaniwa ,hutaki kumpa upercut au cross punch za uso kuhofia kumuumiza na hapo ndipo tunapochemka maana mwanamke huwezi kumnyuka jumla jumla kama mwanaume mwezako ni grapling na vibao vya hapa na pale!.Hii nayo imenishangaza, mwanamke apitishe kisu kwenye koromeo langu tens tukiwa katika mapambano, huu uzembe wa mwanamme, labda kama alikuwa amelala
Siku hizi kesi za kunyimwa unyumba zimekwisha !shikamoo michepukoMatokeo ya semina elekezi za kina mama kuhusu kupinga mfumo dume ndiyo hizi sasa - Mwenyezi Mungu aliwapa uwezo huo walionao, sasa sisi kwa ujuzi ujuzi wetu tunaanza kuwafundisha mambo mengi ambayo hawakupewa na Muumba wa mbingu na nchi.
Sasa wanaume tujiunge kupingania haki zetu tulizopewa na Mwenyezi Mungu wakati wa uumbaji. - tukicheza hawa akina EVA hawa ni hatari sana wanaweza kutupoka zote.
Sasa ona, wengine nasikia wanapangiwa hata siku za kupata unyumba wenye ndoa, sasa ole wako ujaribu kugusa gusa siku ambayo siyo ya ratiba uone kitakachokukuta - haya wengine nao huo unyumba hawapati kabisa - tunakokwenda siko, lets go back to the root....
Hapana Mkuu hivi unajua bora tuseme alipingwa na kitu akapoteza fahamu harafu akachinjwa ila sio kuuawa kwa kuchinjwa na mwanamke tena mmoja, labda niwe naumwa au nimelala anivizie
Mkuu kisu kitapita tuu wala si uzembe
nilitaka nikujibu ila baada ya kuona signature yako tu nimeona bora nikuache kama ulivyo..Shetani ndo nani? Uliwahi mwona wapi? Acheni kumaingizia
Kumbe hadi wanawake nao wana wivu
Unayafahamu ma mwanamke ya Kikurya wewe? Yameenda hewani halafu yamejazia, sasa wewe kimwili kama cha Humphrey Polepole utaweza wapi kulikabili?Hii nayo imenishangaza, mwanamke apitishe kisu kwenye koromeo langu tens tukiwa katika mapambano, huu uzembe wa mwanamme, labda kama alikuwa amelala
Tena Unachinjwa kirahisi Sana Sana... Haya Mambo ni kumwomba Sana Mungu Nyakati HiziHii nayo imenishangaza, mwanamke apitishe kisu kwenye koromeo langu tens tukiwa katika mapambano, huu uzembe wa mwanamme, labda kama alikuwa amelala