Shinyanga Mjini Vs Tabora Mjini

Msunguko wa pesa wa Urambo na Kaliua ni wa msimu, wanapouza tumbaku ndio hayo maeneo yanakuwa na pesa. Lakini Igunga na Nzega mzungukonwake ni mwaka mzima na mind you Igunga ni centre ya baishara ya mpunga kwa sasa, pamoja na dengu, pia uwepo wa machimbo ya dhahabu pale shelui unapainua sana igunga.

Wafabyabiashara wengi wadogo na wa kati wa Shinyanga wanakimbilia igunga, hii ni baada ya kahama kuwa mkoa wa kikodi hivyo shinyanga kujikuta ikihaha kukusanya mapato na kuwatoza wafanyabiashara kodi kubwa, kwa hiyo mzunguko wa pesa wa Igunga ni mkubwa sana, pengine kuliko hata wa Nzega, and in few yrs to come Igunga itaiovertake Nzega.
Ukiwa Igunga usiku huwezi kuamini kama pale ni igunga, pana starehe zote unazozijua, si vibaya kama huwa unapita hiyo njia ulabreak your journey pale, you ll never regret
Rudi kwenye kudesa upya mkuu,Wilaya zenye mzunguko mkubwa wa Pesa Tabora ni Urambo na Kaliua hizo nyingine zinafuatia,pitia tu takwimu za halmashauri husika uone makusanyo ya Ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadithi za kufikirika,eti roho ya umaskini...nyie ndo mnaua albino..kwamba Tabora hakuna makazi yenye hadhi kama huko kwingine na kama yapo wanaojenga wametoa wapi pesa?
Wewe ungejibu hoja kwa hoja badala ya kupanic. Mimi miji miwili yote nimeishi na ninachokizungumza nina uhakika nacho. Ule mji wa Tabora unafaa kuishi wafanyakazi siyo wafanyabiashara. Sasa ni hiari yako kukubali au uendelee kuamini unachoamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka pi sehemu za urambo na kariua zipo karibu sana na kahama
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbona mnahama kutwa utafikiri wakimbizi mnakimbia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhama ndugu yangu hakukwepeki kwa sababu idadi ya watu inaongezeka lakini ardhi haiongezeki, na Tabora, Shinyanga, Mwanza, Geita na Simiyu ni mikoa ndugu, hivyo akihama Simiyu akaenda Tabora ni kwamba yupo nyumbani tu wala hajawa mkimbizi bali ni kwao na mila na desturi zinafanana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupika vizuri hawajui,usiku hakuna sehemu ya maana ya chakula hadi uwe mlevi ukale ugali nyama choma,ukuanza biashara hii ya chakula na ukafanya vizuri utawangiwa ili usiendelee.Ni wivu na ujinga tu
Shinyanga pa hovyo zaidi kuhusu msos..sijui kwanini jamani...unamweleza boda nipeleke sehem nzuri ya kula anakubwaga kwa mama ntilie[emoji1784][emoji1784]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe noma sana mkuu
 
Acha kujitekenya Bariadi panapanuka lakini siyo kwa kasi unayotaka tuamini. Hata Geita tu Bariadi haioni ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ning'hwa dam aka chibe miaka ya 90 tumevua sana Hapo mafish
 
Well said,Shy ina hasara imeshamezwa na Mwanza,Kahama na Bariadi/Maswa yaani kitu pekee wamebaki nacho ni ardhi tambarare ya viwanda
Acheni uongo nyie watu....yaani bariadi na maswa iimeze shy...una akili kweli wewe.

Mwanza ndo unaipa changamoto shy...watu wa shy kwenda mwanza ni kitu cha kawaida kama kutoka bunju kwenda kariakoo.

Kahama geographical location yake ndo unaipa nguvu....iko kwenye njia kuu...junction

TANZANIA TUNA MIJI MIWILI TU TUNAWEZA ITA MIJI DASLAM, MWANZA ikifuatiwa na Arusha kidogo....Mbeya..

Miji mingine ni takataka tu....hakuna unsomzidi mwingine kiasi cha kuwa bora zaidi ya mwenzake......

Pili acheni kulinganisha miji kwa mahaba na ubinafsi..wekeni data tuone,
Ni wakati muafaka sasa serikali ianze kushindanisha hii miji kwa standard za kimataifa..mfano Uzalishaji wa ajira ( employment), services and products zinazozalishwa na mji husika (GDP ya kila mkoa), mchango wa mji au mkoa katika pato la taifa (National GDP) etc...

Sasa nyie mnajua kabisa...zaidi ya nusu ya pato la taifa linatoka Daslam...sehemu inayobaki inazalishwa na mikoa zaidi ya 20...hapo kuna cha kulinganisha kweli....

Wenye data ambazo ziko verified walete watu waone na sio sijui.kisa ulienda tabora au shinyanga ukaopoa demu basi unasem ndo kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…