kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nasikitika sana tangu saa tisa nimeshindwa kulala kutokana na muziki mzito sana ninaosikia nikiwa maeneo ya Lubaga Inn.
Muziki huu ni wa kwaya na sielewi ni kwa nini wameweka sauti nzito sana ya base kiasi kwamba inatikisa hadi kichwa juu ya mto nilioegemeza.
Hivi hata kama mnafariji watu msibani hamjui kuwa wanahitaji kupumzika pia?
Tafadhali naomba mamlaka za Shinyanga mliangalie hili maana sio mara ya kwanza.
Kumbukeni tuna majukumu mengine asubuhi hii pamoja na kuwa tulichelewa kulala tukiangalia match za UEFA.
Bahati mbaya saa tisa naamshwa tena na muziki mzito.
Kama mna nia ya ujumbe kufika punguzeni uzito wa base tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muziki huu ni wa kwaya na sielewi ni kwa nini wameweka sauti nzito sana ya base kiasi kwamba inatikisa hadi kichwa juu ya mto nilioegemeza.
Hivi hata kama mnafariji watu msibani hamjui kuwa wanahitaji kupumzika pia?
Tafadhali naomba mamlaka za Shinyanga mliangalie hili maana sio mara ya kwanza.
Kumbukeni tuna majukumu mengine asubuhi hii pamoja na kuwa tulichelewa kulala tukiangalia match za UEFA.
Bahati mbaya saa tisa naamshwa tena na muziki mzito.
Kama mna nia ya ujumbe kufika punguzeni uzito wa base tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app