Habari za saa hizi wandugu, niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna shimo ambalo lipo maeneo ya barabara ya sita na ya Mwanza jijini Dodoma ni hatari kwa watembea kwa miguu. Tunaomba mamlaka zinazohusika zilishughulikie.
Ahsanteni.
View attachment 1255762
Unataka nani akazibe?Kwahiyo unataka serekal ndio ilizibe?
Kwan limeua mtu
Nenda kazibe wewe,kwani hiyo lami aliitengeneza mleta mada?Kwahiyo unataka serekal ndio ilizibe?
Kama halijau serikal haiwez lizibaMpk liue