Shime! Watanzania wenzangu, kesho 1/12/22 twendeni tukapime VVU

KWAHIYO UKIPIMA UMEEPUKA KUFA CYO?
Endapo nikipima na kukutwa na maambukizi nitaanza kutumia dawa za kufubaza virusi nitaendelea kuishi nikiwa na afya njema na hivyo sinto kufa haraka.

Hivyo kupima kuna manufaa makubwa kuliko kutokupima.
 
leo ni tarehe 1/12/2022, sote tukiandae twende tukpime vvu.
kupima ni bureee hutoi hata shilingi.
ushauri nasaha bureee.
 
leo ni tarehe 1/12/2022, sote tukiandae twende tukpime vvu.
kupima ni bureee hutoi hata shilingi.
ushauri nasaha bureee.
Mkuu kwani leo kuna kitu gani mpaka uhamasishe kupima au ndio ukimwi day...nitoe ushamba kaka
 
Mkuu kwani leo kuna kitu gani mpaka uhamasishe kupima au ndio ukimwi day...nitoe ushamba kaka
kama ulivyo sema leo ni siku ya Ukimwi duniani, hivyo katika kuadhimisha siku ya leo ni vyema tukacheki afya zetu kwa kupima vvu.

Afya bora ni msingi wa maendeleo.
 
Kesho tarehe 1/12/2022 twendeni tukapime maambukizi ya vvu ili kujua afya zetu. Endapo utakuwa umeathirika unaweza kutumia dozi ya ARV na kuepusha maambukizi zaidi...
Watapita wachache hapa na uzi wako ukifikisha viewers mia shukuru.
 
Nahisi nimevamia uzi usio nihusu
unahusika sana.
jambo la msingi hapa ni kupima afya zetu, kama una vvu sio mwisho wa maisha unaweza kutumia arv na ukaendelea na maisha, lkn pia kukinga na kuwalinda wengine.

Pia unaweza kutoa ushauri nasaha kwa vijana na wazee.
lengo ni kupunguza ama kuutokomeza kabisa ugonjwa huu wa ukimwi.
 
Back
Top Bottom