Executive Diary
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 325
- 819
Labda kama una maanisha vijana wa lumumba.
Ni kweli kwa muda mfupi tu yaaniMiaka minne tu deni la taifa ameongeza kwa zaidi ya tr. 20 sasa hiyo miaka 30 ukigawanya kwa 4 tunapata 7.5. Ukizidisha Mara 20 tr. Utapata kama tr. 150. Kwahiyo baada ya miaka 30 wewe na watz mtaokaokuwepo hata mkiuzwa hamuwezi kulipa hili deni cc wazee tutakuwa tumeshateremka kwenye hii dunia. Vitu vikidakwa mnalalamika pumbavu kila mkihema vichwa maji kama wewe.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kila mwenye nia njema na Taifa hili anaelewa Mh. Rais anavyoingoza Nchi. Ni Rais wa watu wote mwenye dhamira ya kweli kuleta maendeleo halisi nchini.
Mengi amefanya kwa muda mfupi na mengi yanaendelea kufanywa kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Ningependa kuomba vijana tuandamane kulishikiza bunge lirekebishe katiba ili tumpe muda wa kutosha Mh. Rais Dr. John Pombe Magufuli kututengenezea Tanzania mpya.
Ikiwezekana aongoze kwa miaka 30 badala ya 10 ya sasa.
Modal tutakayo tumia ni ile ya vijana wa ufipa kumchukulia fomu DJ.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kila mwenye nia njema na Taifa hili anaelewa Mh. Rais anavyoingoza Nchi. Ni Rais wa watu wote mwenye dhamira ya kweli kuleta maendeleo halisi nchini.
Mengi amefanya kwa muda mfupi na mengi yanaendelea kufanywa kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Ningependa kuomba vijana tuandamane kulishikiza bunge lirekebishe katiba ili tumpe muda wa kutosha Mh. Rais Dr. John Pombe Magufuli kututengenezea Tanzania mpya.
Ikiwezekana aongoze kwa miaka 30 badala ya 10 ya sasa.
Mimi siogopi mtu na ogopa Mungu tu sipo nyuma ya keyboard kama unataka namba yangu nakutumia mimi nafanya kazi halali sijaajiriwa kuwa nitafukuzwa sitegemei yeyote kupata ridhiki, katika maisha yangu nachotaka ni haki tu kwa wanyonge wa taifa hili.Mkishakuwa nyuma ya keyboard mnajifanya wajuaji sana kama kweli unajiamini tokeza hadharani tukuone.
Senior Man tuyajenge haya ni memaKama kichwa cha habari kinavyojieleza , kila mwenye nia njema na Taifa hili anaelewa Mh. Rais anavyoingoza Nchi. Ni Rais wa watu wote mwenye dhamira ya kweli kuleta maendeleo halisi nchini.
Mengi amefanya kwa muda mfupi na mengi yanaendelea kufanywa kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Ningependa kuomba vijana tuandamane kulishikiza bunge lirekebishe katiba ili tumpe muda wa kutosha Mh. Rais Dr. John Pombe Magufuli kututengenezea Tanzania mpya.
Ikiwezekana aongoze kwa miaka 30 badala ya 10 ya sasa.
Nina uhakika 100% kuwa ukomo wa muda wa urais utakapoondolewa watakaoumia zaidi ni ccm wenyewe kuliko upinzani, kwanini ?Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kila mwenye nia njema na Taifa hili anaelewa Mh. Rais anavyoingoza Nchi. Ni Rais wa watu wote mwenye dhamira ya kweli kuleta maendeleo halisi nchini.
Mengi amefanya kwa muda mfupi na mengi yanaendelea kufanywa kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Ningependa kuomba vijana tuandamane kulishikiza bunge lirekebishe katiba ili tumpe muda wa kutosha Mh. Rais Dr. John Pombe Magufuli kututengenezea Tanzania mpya.
Ikiwezekana aongoze kwa miaka 30 badala ya 10 ya sasa.
Au unasemea ile vijana choir?Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kila mwenye nia njema na Taifa hili anaelewa Mh. Rais anavyoingoza Nchi. Ni Rais wa watu wote mwenye dhamira ya kweli kuleta maendeleo halisi nchini.
Mengi amefanya kwa muda mfupi na mengi yanaendelea kufanywa kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Ningependa kuomba vijana tuandamane kulishikiza bunge lirekebishe katiba ili tumpe muda wa kutosha Mh. Rais Dr. John Pombe Magufuli kututengenezea Tanzania mpya.
Ikiwezekana aongoze kwa miaka 30 badala ya 10 ya sasa.
Hivi Tanzania hakuna waganga au wachawi watuondolee hili dudu mtu? Haingii akikini kabisa watoto wa nyonge tokea walipo hitimu elimu yao ya juu mpka leo no miaka mnne hawajawahi kuajiliwa. Lakini mdogo wake kapata ajira akiwa bado chuo ,utasikia sauti ikitokea puani ,"msema kweli ni mpenzi wa mungu mm ni mtetezi wa wanyonge "wanyongee!Vijana wanakufa mtaani huku ajira hamna kabisa. Tangu aingie madarakani ajira amezipa kisogo ili apate sifa za kujenga SGR ambayo hauna msaada wowote.
Mi hata kesho ikitokea mtu wa kumpuga risasi nitafurahi Sana na nitashinda baa siku nzima au wiki nzima mana ndo utakuwa mwanzo was vijana nao kuneemeka na rasilimali through ajira bwerere kama ilivyokuwa kwa jk. Hata private sector imekuwa kizungumkuti kila siku wanapunguza wafanyakazi biashara zimekuwa ngumu.
Rais gani ambaye hajali welfare ya watu mpaka wazazi wamekata tamaa kusomesha watoto mana chini ya hili bogus ajira hamna kabisa.
Matokeo yake yamezuiwa kuna uchunguzi unaendelea😆😆😆Mbona umekasirika ghafla moja tu?
Jinsi unavyoandika, nimeshapata jibu.
Hivi matokeo ya darasa la saba yameshatoka au bado?
Umeandika kwa hasira sana MIPANGO YAKO YOTE UNAWATEGEMEA WATU ILI UIFANIKISHEMimi siogopi mtu na ogopa Mungu tu sipo nyuma ya keyboard kama unataka namba yangu nakutumia mimi nafanya kazi halali sijaajiriwa kuwa nitafukuzwa sitegemei yeyote kupata ridhiki, katika maisha yangu nachotaka ni haki tu kwa wanyonge wa taifa hili.
Siwezi kujikomba kwa yeyote maana ninao uwezo wa kuendesha maisha yangu na ya wengine kiuchumi siyo kama wewe ambaye unatafta huruma ya uteuzi.
Nategemea watu sio kwa msaada ni kwa huduma ambayo ni haki yangu kama mlipa kodi.Umeandika kwa hasira sana MIPANGO YAKO YOTE UNAWATEGEMEA WATU ILI UIFANIKISHE
Ninaunga hoja mkono 100%, tumeibiwa mno,tumeteseka mno, Sasa tunaelekea pazuri na tuna kiongozi mahiri tuliyepewa na mungu.sasa ni wakati wa kuelekea kubadili katiba JPM atuongoze Hadi 2035,ikifika kipindi hicho nchi yetu utakuwa kwenye kundi la nchi zilizoendelea. Tangu baada ya kipindi Cha mwalimu nyerere tulipoteza uelekeo, Sasa tumepata uelekeo tunamuhitaji JPM tu.JPM mungu akubariki.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kila mwenye nia njema na Taifa hili anaelewa Mh. Rais anavyoingoza Nchi. Ni Rais wa watu wote mwenye dhamira ya kweli kuleta maendeleo halisi nchini.
Mengi amefanya kwa muda mfupi na mengi yanaendelea kufanywa kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Ningependa kuomba vijana tuandamane kulishikiza bunge lirekebishe katiba ili tumpe muda wa kutosha Mh. Rais Dr. John Pombe Magufuli kututengenezea Tanzania mpya.
Ikiwezekana aongoze kwa miaka 30 badala ya 10 ya sasa.
Nadhani angepelekwa Samunge akagonge tena Kikombe cha Babu...afu na sisi wazee tungesapoti upuuzi...Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kila mwenye nia njema na Taifa hili anaelewa Mh. Rais anavyoingoza Nchi. Ni Rais wa watu wote mwenye dhamira ya kweli kuleta maendeleo halisi nchini.
Mengi amefanya kwa muda mfupi na mengi yanaendelea kufanywa kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Ningependa kuomba vijana tuandamane kulishikiza bunge lirekebishe katiba ili tumpe muda wa kutosha Mh. Rais Dr. John Pombe Magufuli kututengenezea Tanzania mpya.
Ikiwezekana aongoze kwa miaka 30 badala ya 10 ya sasa.