Shimbo ni Uteuzi Makini

Shimbo ni Uteuzi Makini

Ukiachana na siasa uchwara na propaganda, Shimbo ni mchapa kazi.
Ametumia uwezo wake na upeo akimsaidia Gen Mwamunyange kulibadilisha Jeshi.
Kazi alizofanya naamini wanajeshi watazikumbuka.
Hivi sasa wanajeshi wana hali nzuri.

Naamini ataiwakilisha vyema nchi yetu nchini China
Well, kama ni mzuri kiasi hicho angetuwakilisha vizuri zaidi kwenye nchi zenye vita. China tunahitaji mtu mahiri kwenye masuala ya uchumi, si uanajeshi


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ukiachana na siasa uchwara na propaganda, Shimbo ni mchapa kazi.
Ametumia uwezo wake na upeo akimsaidia Gen Mwamunyange kulibadilisha Jeshi.
Kazi alizofanya naamini wanajeshi watazikumbuka.
Hivi sasa wanajeshi wana hali nzuri.

Naamini ataiwakilisha vyema nchi yetu nchini China

Sababu ya kumsaidia Gen Mwamuyange kulibadilisha Jeshi; Kwahiyo anafaa kuwa BALOZI? ana DIPLOMASIA GANI?
Sio yeye aliyekuwa na Scandal na pesa za Malipo ya Wanajeshi wanaofanya UN?

Hivi tunapongeza kwa kuwa hatuna HABARI za UNDANI kuhusu hao Wateuliwa au Tumeshindwa kuwa Wakweli ni BENDERA FUATA UPEPO

Sasa hhuko CHINA atawezaje kuhamasisha Serikali ya RAIA???
 
Back
Top Bottom