Nakumbuka uliomba samahani ukakiri hutonifatilia sasa kipi kinakuwasha na kuanza usumbufu tena what are u missing kutoka kwangu? Kila sku fyoko unazianzisha kipi wataka ujiseme wwe ulivyo mwizi wa wanaume za watu wwe unaongea kama nani labda kuniita mm mwizi nani mwizi kati yangu na wwe? Unataka kupigiwa tena smu ndo furaha yako una nn
nyi mnayenu mmngeenda jukwaa la mapenz mkachambane kuku nyinyi kuwataja taja akina daimond ndo mnaona dili i think mtakuwa mlikosa kazi ya kufanya xo mkaamua kuwest ur time pande hiz bt dis is nt bongomovie meeting xo take care guys, insearch bado mnajichanganya wenyewe mnamwonesha nani uhun wenu wa kugombania mabwana..for real i hate u all
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.