sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,946
Mimi rais Mithili ya Broo Magu, simpi shikamoo, nikiingia kwenye anga zake, kama ananitumbua potelea mbari.
Naomba Mwenye picha ya mkurugenzi wa Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere akimwamukia mkuu wa Kaya, baada ya kuingia kweye Kumi na tano za Broo Magu, aniwekee hapa nicheke jamaa mpaka anainama kidgo, haaaaaaaaaaa, Magu Mwaka huuu, utapigiwa mpaka magoti.
Naomba Mwenye picha ya mkurugenzi wa Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere akimwamukia mkuu wa Kaya, baada ya kuingia kweye Kumi na tano za Broo Magu, aniwekee hapa nicheke jamaa mpaka anainama kidgo, haaaaaaaaaaa, Magu Mwaka huuu, utapigiwa mpaka magoti.