Shikamoo Filters..

Shikamoo Filters..

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Unavyojitetea sasa wakati ushaingizwa cha kike wewe tulia hukoooo...

Sema mwanangu unakula mashavu tuu na huyo mtoto maana kakukubali mwenyewe an kuna sisi tunafosigi king lakini wapi dadek
Nyie hadi mnyofolewe Oesophagus ndio muelewe kama hampendwi
 
Mmewasiliana kwa tamaa zenu za kimwili tuu na mnaonania guest haki vijana nmekata tamaa ya maisha sana
Hamjali chochote tenaaa
Magonjwa, usalama wako?
 

Attachments

  • IMG-20250604-WA0022.jpg
    IMG-20250604-WA0022.jpg
    54.8 KB · Views: 8
Ni filter tu au kajichubua kabisa? Kama filter tu si anaoga kabla hujamuweka, then mafilter yote yanatoka unakula utam. Changamoto ni kama amejikoboa, wananuka balaa.

Kama mengine yanabaki constant, hana kisamaki na kipapa kipo vizuri, hakuna kulalama..ni kuichapa...vijana mnafeli wapi.
 
Mkuu mbona unantisha.. Hili halikuwepo kabisa mawazoni mwangu unalianzisha lanini
aiseeeh',
Pole sana mkuu, hilo lilipaswa liwe la kwanza, angalia starehe ya dakika chache isije kugharimu maisha yote yaliyo mbele yako,
bado una ndoto nyingi hujatimiza, una familia na wazazi ambao wanakuamini na kukutegemea, usihadaike na comments za JF, this is your fqn life, Makinika..!
 
Back
Top Bottom