Shikamoo bakhresa... teh teh

Shikamoo bakhresa... teh teh

Kwa nini asiweze?kwani ndege ya abiria ni shilingi ngapi na utajiri wake unafikiri ni shilingi ngapi?Kwa pesa aliyonayo anaweza kuwa na shirika la ndege kwa taarifa yako sema watu wana vipaumbele vyao wamejiwekea nini wafanye na nini wasifanye.Biashara ya ndege Africa ni ngumu sana na ipo na changamoto nyingi sana na ndo maana mashirika mengi yanayumba angalia Kenya airways na precision air zinavyopata hasara.

Ulinielewa nilichokusudia au??
 
ukipiga ugali wake,maharage yake yaliyoungwa kwa nazi zake ukashushia na maji ya uhai na zile juice zenye sukari kama kashata....utaishi maisha marefu sana.

Hahahaa mkuu pamoja na hayo Bakhresa katurahisishia maisha lol
 
Ngoja nimtafute aanzishe line ya beer, mi ndo nionekane mmiliki tutaiita maza lager, yaani azam ukiandika kiarabu, sorry, kinyume
 
Jamaa karahisisha sana maisha na ndio aliyewafungua ujanja kwa kina mo naona nayeye anapita mule mule
 
. . . mimi napita tu. Nilijikwaa ndo maana nkasimama . . .
 
Back
Top Bottom