Tunasubiri Azam beer
Tunasubiri Azam beer
hahaaaaa mfuasi wa mudi huyo hapendi beer
Tunasubiri maharage ya azam yaliyopikwa na kuungwa kabisa
Hahahahahah watu wana vituko na mkaa basi pia uwe azam mkaa
Haswaa, tena yaloungwa na Nazi yake ya pakti yapate kuliwa na chapatti au maandazi yake, mbona wanawake wasiopenda kupika watachekelea.
Me nasubiria Air Azam
Tunasubiri maharage ya azam yaliyopikwa na kuungwa kabisa
Hawezi kufikia level hizo