gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,204
- 5,780
Hao uliowataja walitengeneza mifumo gani imara? Labda useme walianzisha baadhi ya mifumo kwenye taasisi ila kamwe haikufanywa kua imara.Hata mwinyi, mkapa na kikwete waliweza kujenga taasisi imara pia....
Huyo mtu suitable unayemsema ni hadi awe Rais ndo umuone ni suitable je kama hajapata nafasi ya kuwa rais utajuaje usuitable wake? Kwahiyo baada ya mtu wako suitable kufa na akakosekana suitable mwingine unadhani nini kitatokea?.