PreGE2025 Shigongo, atimiza ahadi yake ya kufunga taa za barabarani katika kata 6 jimbo kwake Buchosa

PreGE2025 Shigongo, atimiza ahadi yake ya kufunga taa za barabarani katika kata 6 jimbo kwake Buchosa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ametimiza ahadi yake ya kufunga taa za barabarani, hatua itakayowasaidia wananchi kuendesha shughuli za kiuchumi na kibiashara hata nyakati za usiku.

Ufungaji wa taa hizo kwa sasa unaendelea katika kata za Lugata, Bulyaheke, Katwe, Bangwe, Kafunzo na Nyehunge, huku akiahidi kuwa zoezi hilo litaendelea hadi kufikia kata zote 21 za Jimbo la Buchosa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Shigongo amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo ni sehemu ya kutimiza ahadi alizotoa kwa wananchi, sambamba na kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

snapins-ai_DLKamN0sLjR(2).jpeg
 
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ametimiza ahadi yake ya kufunga taa za barabarani, hatua itakayowasaidia wananchi kuendesha shughuli za kiuchumi na kibiashara hata nyakati za usiku.

Ufungaji wa taa hizo kwa sasa unaendelea katika kata za Lugata, Bulyaheke, Katwe, Bangwe, Kafunzo na Nyehunge, huku akiahidi kuwa zoezi hilo litaendelea hadi kufikia kata zote 21 za Jimbo la Buchosa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Shigongo amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo ni sehemu ya kutimiza ahadi alizotoa kwa wananchi, sambamba na kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

View attachment 3378025
Rushwa
 
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ametimiza ahadi yake ya kufunga taa za barabarani, hatua itakayowasaidia wananchi kuendesha shughuli za kiuchumi na kibiashara hata nyakati za usiku.

Ufungaji wa taa hizo kwa sasa unaendelea katika kata za Lugata, Bulyaheke, Katwe, Bangwe, Kafunzo na Nyehunge, huku akiahidi kuwa zoezi hilo litaendelea hadi kufikia kata zote 21 za Jimbo la Buchosa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Shigongo amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo ni sehemu ya kutimiza ahadi alizotoa kwa wananchi, sambamba na kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

View attachment 3378025
Ukisikia maendeleo ndio haya!, halafu eti ajitokeze kinyangarika mwingine yeyote kutaka kupenyeza pua Buchosha..., tutam...!
P
 
Bora huyu kuliko yale ya Luhaga Mpina bado anamdai Mama hereni na nywele za kusuka
 
Hahahah!! Alikua wapi miaka 4 iliyo pita.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Ni rushwa tupu.
Huu ni ulaghai mkubwa.
Kwanini?

Je, hicho alichokifanya ndio kitu mahususi kinapaswa kufanywa na mbunge?
Atuambie hizo pesa ametoa wapi?
Anahitaji mtu awe mbunge ili aweze kufanya hayo?
 
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ametimiza ahadi yake ya kufunga taa za barabarani, hatua itakayowasaidia wananchi kuendesha shughuli za kiuchumi na kibiashara hata nyakati za usiku.

Ufungaji wa taa hizo kwa sasa unaendelea katika kata za Lugata, Bulyaheke, Katwe, Bangwe, Kafunzo na Nyehunge, huku akiahidi kuwa zoezi hilo litaendelea hadi kufikia kata zote 21 za Jimbo la Buchosa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Shigongo amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo ni sehemu ya kutimiza ahadi alizotoa kwa wananchi, sambamba na kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

View attachment 3378025
Badala kuwawezesha wanyonge...hata pembejeo za pamba....mitaji vikundi etc...taa ni kazi halmashauri ....kipaumbele cha mwisho kabisaa
 
Back
Top Bottom