Shigongo na magazeti yake wameazisha Oparesheni Fichua uovu(OFM) oparesheni hii imejaa udhalilisha na ukiukwaji wa haki za binadamu ikiwemo ya haki ya faragha.
Je, wanafanya hivi kwa ruhusa ya mamlaka ipi?
Nani amewapa kibali cha kuendesha oparesheni hii?
Je, wanafanya hivi kwa ruhusa ya mamlaka ipi?
Nani amewapa kibali cha kuendesha oparesheni hii?