Shift in charge ana majukumu gani TANROADS

Shift in charge ana majukumu gani TANROADS

albinomweusi

Member
Joined
Jul 10, 2014
Posts
44
Reaction score
0
wadau vip...eti shift in charge inahusika na nn na malipo yake yanakuaje.tusaidiane kwa mwenye ufahamu kwa hili
 
unapanga ratiba ya wafanyakazi kwenye mzani ww ndiyo msimamiz mkuu wa mzani,malipo yanategemea na uzoefu wako wa kazi pamoja na elimu yako.
 
Jamaa amejibu vizuri hapo juu hizo ni kazi zao kuhusu salary wana scale zao kama umeitwa kwenye interview waambie according to their scale wako vizuri kwa sasa engineer ndo wanapewa priority sana kuajiriwa kwenye hiyo post hata kama kwenye baadhi ya matangazo wanasema any proffession but engineers a most considered for now
 
Jamaa amejibu vizuri hapo juu hizo ni kazi zao kuhusu salary wana scale zao kama umeitwa kwenye interview waambie according to their scale wako vizuri kwa sasa engineer ndo wanapewa priority sana kuajiriwa kwenye hiyo post hata kama kwenye baadhi ya matangazo wanasema any proffession but engineers a most considered for now

nimekuelwa kaka hizo scale zao ni kama sh ngap
 
1.2m hiyo ndo basic yao plus other package posho ambayo ni kwa siku ambazo utafanya kazi
 
Back
Top Bottom