Shida ya Tanzania ni nini haswa - tuseme ukweli

Shida ya Tanzania ni nini haswa - tuseme ukweli

vulcan

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,742
Reaction score
2,459
Watanzania , njoo tuongee kama ndugu wa toka nitoke.. kujeni tusemezane kama marafiki bila matusi.

Ni nini shida ya nchi yenu?
1. Ardhi kubwa yenye rutuba na mvua tele mnayo
2. Madini yametapakaa kote
3. Uzalendo umekita mizizi bongo, mnaipenda nchi yenu kweli kweli
4. Umoja wa makabila upo, wala haulazimishwi
5. Tanzania kuna amani na utulivu kote
6. Democrasia yenu haijawahi kutingika hata kamwe

Kwa nini msikuwe mbele ya mataifa yote ya Afrika?

Katika mambo haya sita ambayo nimetaja, Kenya haiwezi karibia Tanzania,
Tanzania inafaa kuwa na maendeleo mara dufu kulinganisha na Kenya.

Lakini wapi, tunashindana kama watu rika moja.

Kwa nini Watanzania?


1589087122604.png
 
Kwan nyie mko mbeleyetu kwe kipi? Mmetuzidi nini labda?
Msijisahaulishe mnatembelea nyota ya tz
 
Watanzania , njoo tuongee kama ndugu wa toka nitoke.. kujeni tusemezane kama marafiki bila matusi.

Ni nini shida ya nchi yenu?
1.Ardhi kubwa yenye rutuba na mvua tele mnayo
2.Madini yametapakaa kote
3.Uzalendo umekita mizizi bongo, mnaipenda nchi yenu kweli kweli
4.Umoja wa makabila upo, wala haulazimishwi
5.Tanzania kuna amani na utulivu kote
6.Democrasia yenu haijawahi kutingika hata kamwe

Kwa nini msikuwe mbele ya mataifa yote ya Afrika??

Katika mambo haya sita ambayo nimetaja, Kenya haiwezi karibia Tanzania,
Tanzania inafaa kuwa na maendeleo mara dufu kulinganisha na Kenya.

Lakini wapi, tunashindana kama watu rika moja.

Kwa nini Watanzania????


View attachment 1445508
Nguvu nyingi tunazitumia kujenga hayo uliyoyataja ukiachana na uwepo wa madini ardhini, hayo yote uliyotaja ni "men made".

Sisi tulitumia muda, pesa na gharama zingine kubwa sana kuyajenga hayo yote uliyoyasema, wakati sisi tunajenga nchi, Kenya mlikua mnajenga uchumi.

Kwa hiyo, sasa hivi Kenya ilipaswa kuwa mbali sana kiuchumi zaidi ya Tanzania, kwasababu hatukuanza kujenga uchumi kama mlivyoanza Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania , njoo tuongee kama ndugu wa toka nitoke.. kujeni tusemezane kama marafiki bila matusi.

Ni nini shida ya nchi yenu?
1.Ardhi kubwa yenye rutuba na mvua tele mnayo
2.Madini yametapakaa kote
3.Uzalendo umekita mizizi bongo, mnaipenda nchi yenu kweli kweli
4.Umoja wa makabila upo, wala haulazimishwi
5.Tanzania kuna amani na utulivu kote
6.Democrasia yenu haijawahi kutingika hata kamwe

Kwa nini msikuwe mbele ya mataifa yote ya Afrika??

Katika mambo haya sita ambayo nimetaja, Kenya haiwezi karibia Tanzania,
Tanzania inafaa kuwa na maendeleo mara dufu kulinganisha na Kenya.

Lakini wapi, tunashindana kama watu rika moja.

Kwa nini Watanzania????


View attachment 1445508
Hayo mambo hawayapendi mabeberu uliyo yataja TZ imepigania Uhuru dhidi ya mabeberu na kufanya ichukiwe tulitengwa wakati wa Nyerere kwa sababu ya ujamaa na kupigania waafrica wenzetu pia kosa moja la Nyerere ni kufanya kwenye sekta ya umma na binafsi hivyo ilikuwa ni uhujumu uchumi kufanya biashara au kumiliki shamba kubwa la kuajiri vibarua

Sasa sisi watz tunashangaa kwanini Kenya IPO kwenye ubepari miaka yote na kupewa kipaumbele na mabeberu Ila bado ni fukara watu wote 82% Nairobi wanaishi kwa slum, sisi tumepigana na Uganda na mabeberu tumeshindana nayo toka Uhuru, pia ukumbuke tz ndiyo nchi pekee iliyo toka kwenye kuwa nchi ya 3 kwa umasikini miaka ya 1998 hadi kuwa kwenye 10 bora

Send by APOLO 1
 
Nguvu nyingi tunazitumia kujenga hayo uliyoyataja ukiachana na uwepo wa madini ardhini, hayo yote uliyotaja ni "men made".

Sisi tulitumia muda, pesa na gharama zingine kubwa sana kuyajenga hayo yote uliyoyasema, wakati sisi tunajenga nchi, Kenya mlikua mnajenga uchumi.

Kwa hiyo, sasa hivi Kenya ilipaswa kuwa mbali sana kiuchumi zaidi ya Tanzania, kwasababu hatukuanza kujenga uchumi kama mlivyoanza Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sawa anadhani amani na umoja wetu umejiweka tu wenyewe from nowhere

Send by APOLO 1
 
Watanzania , njoo tuongee kama ndugu wa toka nitoke.. kujeni tusemezane kama marafiki bila matusi.

Ni nini shida ya nchi yenu?
1. Ardhi kubwa yenye rutuba na mvua tele mnayo
2. Madini yametapakaa kote
3. Uzalendo umekita mizizi bongo, mnaipenda nchi yenu kweli kweli
4. Umoja wa makabila upo, wala haulazimishwi
5. Tanzania kuna amani na utulivu kote
6. Democrasia yenu haijawahi kutingika hata kamwe

Kwa nini msikuwe mbele ya mataifa yote ya Afrika?

Katika mambo haya sita ambayo nimetaja, Kenya haiwezi karibia Tanzania,
Tanzania inafaa kuwa na maendeleo mara dufu kulinganisha na Kenya.

Lakini wapi, tunashindana kama watu rika moja.

Kwa nini Watanzania?


View attachment 1445508
Tatizo la Tz:
1. ccm
2. jiwe
3. wafuasi wa ccm
Mpaka tuondokane na maadui hawa watatu ndio tutasonga mbele.
 
Watanzania , njoo tuongee kama ndugu wa toka nitoke.. kujeni tusemezane kama marafiki bila matusi.

Ni nini shida ya nchi yenu?
1. Ardhi kubwa yenye rutuba na mvua tele mnayo
2. Madini yametapakaa kote
3. Uzalendo umekita mizizi bongo, mnaipenda nchi yenu kweli kweli
4. Umoja wa makabila upo, wala haulazimishwi
5. Tanzania kuna amani na utulivu kote
6. Democrasia yenu haijawahi kutingika hata kamwe

Kwa nini msikuwe mbele ya mataifa yote ya Afrika?

Katika mambo haya sita ambayo nimetaja, Kenya haiwezi karibia Tanzania,
Tanzania inafaa kuwa na maendeleo mara dufu kulinganisha na Kenya.

Lakini wapi, tunashindana kama watu rika moja.

Kwa nini Watanzania?


View attachment 1445508

E L I M U
 
Back
Top Bottom