Shida ya Maji jijini Tanga

Shida ya Maji jijini Tanga

Ujinga gan huo unaosema? Tatizo la maji kutoka tope inasababishwa na shughuli za kilimo, uchimbaji madini kule kwenye chanzo cha maji ndo mto unajaa tope na huo sio mkoa wa kwanza sehemu nyingine tatizo sio kubwa kwasababu vyanzo ni visima kwahiyo hamna uchafuzi kama mito .Na kwataarifa tu Tanga Uwasa ndio mamlaka bora ya Maji Tz ina international accreditation pia. Wa Tz tusiwe na tabia ya kukosoa na kulaumu bila hata kuwa na simple research na information haijengi
Unataka kutuambia miaka yote watu walikuwa hawalimi na kuchimba madini katika chanzo cha maji? Chanzo cha maji unakijua? Kuna tatizo mahali fulani Tanga UWASA lishughulikwe.
 
Unataka kutuambia miaka yote watu walikuwa hawalimi na kuchimba madini katika chanzo cha maji? Chanzo cha maji unakijua? Kuna tatizo mahali fulani Tanga UWASA lishughulikwe.
human activities sasa kwenye maeneo ya chanzo cha maji zimeongezeka (tofauti na miaka ya nyuma) ndo nacho kwambia hapo awali kulikuwa hamna izo shughuli kwa kiasi kama sasa, na mvua zikinyesha zinabeba hilo tope naongea hivi kwasababu nimefuatilia haya maswala kumeunda hadi kikundi cha kufuatilia suala la mazingira uko kwenye chanzo cha maji ili kumonitor shughuli za kibinadamu baada kuona zinaongezeka
 
Back
Top Bottom